Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Umewekwa friendzone na dhamani yake kwako ndio hiyo, nashangaa why una wasiliana nae kama amekwambia ana jamaa wake ana ana mtotoJust imagine huyu nimewahi onana naye only once kama miezi miwili ago. Tunawasiliana kuchat once in a while. Inaweza pita hata wiki mbili. Na aliniambia ana jamaa yake.
Na ana mtoto. Jana tu out of nowhere anatuma msg nimpatie tsh 300,000. Hivyo tu. Na ana fanya kazi. Sasa sijui ameniona mimi tutusa? Nami nina mchanganyiko na Mpare kama yeye Mchaga... Aiseee...wote tunaijua pesa... Na bado sijamwomba hata papuchi. Wala sijagusa.... Akili wanapeleka wapi hawa nyauz?
View attachment 3142792
Wanawake wa sasa ukimuomba namba tu tayari anajua umemtongoza.Mimi Naona Bora USITONGOZE TU MWANAMKE UWE NKENJA ila kuleta lawama kama Hizi ni kwamba dhahili kabisa Uzinzi huuwezi bora UOKOKE umpokee YESU KRISTO
Gentleman,Just imagine huyu nimewahi onana naye only once kama miezi miwili ago. Tunawasiliana kuchat once in a while. Inaweza pita hata wiki mbili. Na aliniambia ana jamaa yake.
Na ana mtoto. Jana tu out of nowhere anatuma msg nimpatie tsh 300,000. Hivyo tu. Na ana fanya kazi. Sasa sijui ameniona mimi tutusa? Nami nina mchanganyiko na Mpare kama yeye Mchaga... Aiseee...wote tunaijua pesa... Na bado sijamwomba hata papuchi. Wala sijagusa.... Akili wanapeleka wapi hawa nyauz?
View attachment 3142792
Shida iko wapi? Ungejibu sina halafu basi.Just imagine huyu nimewahi onana naye only once kama miezi miwili ago. Tunawasiliana kuchat once in a while. Inaweza pita hata wiki mbili. Na aliniambia ana jamaa yake.
Na ana mtoto. Jana tu out of nowhere anatuma msg nimpatie tsh 300,000. Hivyo tu. Na ana fanya kazi. Sasa sijui ameniona mimi tutusa? Nami nina mchanganyiko na Mpare kama yeye Mchaga. Aiseee...wote tunaijua pesa... Na bado sijamwomba hata papuchi. Wala sijagusa. Akili wanapeleka wapi hawa nyauz?
View attachment 3142792
Huna pesa case closed af ww mshamba kwani kumwambia mtu hali yangu sio mzuri kuna shida up utuambie sisi huku
Hili ni tatizo kubwa kwasasaWanawake wa sasa ukimuomba namba tu tayari anajua umemtongoza.
Ndio upumbavu huo kweli🤣Acha roho mbaya jamii forum ni jamii huru haimfungi mtu kuexpress feeling
Bob. Wapi nimesema mimi nimetongoza?sijatongoza hata. Unanionea tu. Nkenja ndo nini?Mimi Naona Bora USITONGOZE TU MWANAMKE UWE NKENJA ila kuleta lawama kama Hizi ni kwamba dhahili kabisa Uzinzi huuwezi bora UOKOKE umpokee YESU KRISTO