Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Nkenja nsufulizedMimi Naona Bora USITONGOZE TU MWANAMKE UWE NKENJA ila kuleta lawama kama Hizi ni kwamba dhahili kabisa Uzinzi huuwezi bora UOKOKE umpokee YESU KRISTO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkenja nsufulizedMimi Naona Bora USITONGOZE TU MWANAMKE UWE NKENJA ila kuleta lawama kama Hizi ni kwamba dhahili kabisa Uzinzi huuwezi bora UOKOKE umpokee YESU KRISTO
Hehehe.....kupatwa kwa wanawake😁😁 huyu nilipewa namba zake Leo asubuhi Tu baada ya salamu Tu akaomba hela wanawake wa Tanzania wameshindikana
😁Leo tarehe ngapi? Hili jizi tu.
Kwamba laki 3 kwako ni hela ndogo sanaa..!!!kama unalo hilo salio na una moyo wa nyama kweli , si umpatie tu mbona yaishe kwa amani, na mbona ni pesa kidogo sana gentleman?
Sijui wakoje... Yaani ukifahamiana tu shida zote zinamjia. Na anataka utatue wewe😁😁 huyu nilipewa namba zake Leo asubuhi Tu baada ya salamu Tu akaomba hela wanawake wa Tanzania wameshindikana
Mimi kama sina mpango wa kutumia pesa sichukua namba ya mwanamke.Mimi Naona Bora USITONGOZE TU MWANAMKE UWE NKENJA ila kuleta lawama kama Hizi ni kwamba dhahili kabisa Uzinzi huuwezi bora UOKOKE umpokee YESU KRISTO
Chawa huyo anataka kujipa thamani asiyokuwa nayoKwamba laki 3 kwako ni hela ndogo sanaa..!!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Daah...nyie majizi. Hujalazimishwa kusoma. Lazima tushtuane sisi wanaume wabahili na kukumbushana. Mimbwa kama hii hatuipi pesa. Tutawapa wazazi wetu.... Hampati kitu nyie mbwah kokohIlimradi tu yaani nae aanzishe uzi kuponda wanawake! Ukute na msg kajitumia.
Sasa wewe uliyetongoza mbwa tukuiteje? Sawa mtoto wa mbwa.Daah...nyie majizi. Hujalazimishwa kusoma. Lazima tushtuane sisi wanaume wabahili na kukumbushana. Mimbwa kama hii hatuipi pesa. Tutawapa wazazi wetu.... Hampati kitu nyie mbwah kokoh
Nimecheka sana kwa topic yako hii uloanzisha.Just imagine huyu nimewahi onana naye only once kama miezi miwili ago. Tunawasiliana kuchat once in a while. Inaweza pita hata wiki mbili. Na aliniambia ana jamaa yake.
Na ana mtoto. Jana tu out of nowhere anatuma msg nimpatie tsh 300,000. Hivyo tu. Na ana fanya kazi. Sasa sijui ameniona mimi tutusa? Nami nina mchanganyiko na Mpare kama yeye Mchaga. Aiseee...wote tunaijua pesa... Na bado sijamwomba hata papuchi. Wala sijagusa. Akili wanapeleka wapi hawa nyauz?
View attachment 3142792
WanajiuzaSijui wakoje... Yaani ukifahamiana tu shida zote zinamjia. Na anataka utatue wewe
Huyo jamaa kama anakaushoga flani hivi🤣Acha roho mbaya jamii forum ni jamii huru haimfungi mtu kuexpress feeling
Anaomba advance kabisa ila parefuu mshahara wangu mie huo!Just imagine huyu nimewahi onana naye only once kama miezi miwili ago. Tunawasiliana kuchat once in a while. Inaweza pita hata wiki mbili. Na aliniambia ana jamaa yake.
Na ana mtoto. Jana tu out of nowhere anatuma msg nimpatie tsh 300,000. Hivyo tu. Na ana fanya kazi. Sasa sijui ameniona mimi tutusa? Nami nina mchanganyiko na Mpare kama yeye Mchaga. Aiseee...wote tunaijua pesa... Na bado sijamwomba hata papuchi. Wala sijagusa. Akili wanapeleka wapi hawa nyauz?
View attachment 3142792
Hizi akili za kimasikiniUmenikumbusha wimbo fulani wa Harmonize aliimba " kuhonga kubaya kama Huna hela lakini kwa wenye hela ni suna"
Hamna kitu kama hchoMpe tu atakurudishia mwisho wa mwezi si umesema anafanya kaz
Mzee u can't be serias Al the timepunguzeni mada za utumbo.