Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
- #21
Utatafuta miaka yote kwa tabia hizi za kimalaya malaya...Sasa inatuhusu nini? Mlikojuliana tulikuwepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatafuta miaka yote kwa tabia hizi za kimalaya malaya...Sasa inatuhusu nini? Mlikojuliana tulikuwepo?
Pale juu naona Lymo....nimeshtuka kama sio demu wangu nikakumbuka wa kwangu ana ubini TarimoJust imagine huyu nimewahi onana naye only once kama miezi miwili ago. Tunawasiliana kuchat once in a while. Inaweza pita hata wiki mbili. Na aliniambia ana jamaa yake.
Na ana mtoto. Jana tu out of nowhere anatuma msg nimpatie tsh 300,000. Hivyo tu. Na ana fanya kazi. Sasa sijui ameniona mimi tutusa? Nami nina mchanganyiko na Mpare kama yeye Mchaga. Aiseee...wote tunaijua pesa... Na bado sijamwomba hata papuchi. Wala sijagusa. Akili wanapeleka wapi hawa nyauz?
View attachment 3142792
Wanawake wanadhani wanaume wote ni wajinga.Bob. Wapi nimesema mimi nimetongoza?sijatongoza hata. Unanionea tu. Nkenja ndo nini?
Wewe unajiuza....acha ujinga futa huu uzi 300k unakuja kulia humu jf kama mwanamke mjane!!
😁😁😁😁Hakuna haja ya kuwapa hela hawa funguro; ninalo langu nimelipa hela toka nilioe 2005, ila nikaja gundua wanaligegeda, nikalifyekelea huko! Kamwe halitaona 10 cents zangu Mbwa!
Hili ni jukwaa huru. Imekuuma kanawe ukalale...Huna pesa case closed af ww mshamba kwani kumwambia mtu hali yangu sio mzuri kuna shida up utuambie sisi huku?
Kaomba 300k hapo target yake hata ukikosa basi umpe hata 100k.madogo apo ndipo mnapochemka sasa
Leo tarehe ngapi? Hili jizi tu.Mpe tu atakurudishia mwisho wa mwezi si umesema anafanya kazi?
Wamekuwa kama boda boda, Ukimtazama tu anajua unataka usafiriWanawake wa sasa ukimuomba namba tu tayari anajua umemtongoza.
Hahaha.....we Uttoh utakuwa Mmeru.Hakuna haja ya kuwapa hela hawa funguro; ninalo langu nimelipa hela toka nilioe 2005, ila nikaja gundua wanaligegeda, nikalifyekelea huko! Kamwe halitaona 10 cents zangu Mbwa!
Kabisa hii midemu ya siku hizi ni migume gume hasaWanawake wanadhani wanaume wote ni wajinga.
Boda wamevuka mipaka. Ukimtazama tu anaweza kukugong jinsi anavyokukimbiliaWamekuwa kama boda boda, Ukimtazama tu anajua unataka usafiri
😁😁😁😁 Anaijua hiyoMpe tu atakurudishia mwisho wa mwezi si umesema anafanya kazi?
😁😁😁
Ilimradi tu yaani nae aanzishe uzi kuponda wanawake! Ukute na msg kajitumia.Sasa inatuhusu nini? Mlikojuliana tulikuwepo?
Hioo picha tyuJust imagine huyu nimewahi onana naye only once kama miezi miwili ago. Tunawasiliana kuchat once in a while. Inaweza pita hata wiki mbili. Na aliniambia ana jamaa yake.
Na ana mtoto. Jana tu out of nowhere anatuma msg nimpatie tsh 300,000. Hivyo tu. Na ana fanya kazi. Sasa sijui ameniona mimi tutusa? Nami nina mchanganyiko na Mpare kama yeye Mchaga. Aiseee...wote tunaijua pesa... Na bado sijamwomba hata papuchi. Wala sijagusa. Akili wanapeleka wapi hawa nyauz?
View attachment 3142792
Shida ni sisi wanaume tumewazoesha.