Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Baleke, Chama na Kibu wataivusha Simba SC kwenda semis
Mungu atupe heri ya Uzima ijumaa itakuwa raha na furaha kwenye uwanja tukufu wa Mkapa.
Inshallah Tanzania tumepata heshima kubwa sana. Simba SC tumeitengeneza hii heshima na tuilinde kwa wivu mkubwa sana.
Shukrani 🙏🙏🙏
Mungu atupe heri ya Uzima ijumaa itakuwa raha na furaha kwenye uwanja tukufu wa Mkapa.
Inshallah Tanzania tumepata heshima kubwa sana. Simba SC tumeitengeneza hii heshima na tuilinde kwa wivu mkubwa sana.
Shukrani 🙏🙏🙏