PLATO_
Senior Member
- Jan 25, 2020
- 116
- 230
Hivi Majuzi niliona nimeamka kutoka usingizini lakini cha kushangaza nilijiona bado nipo kitandani nimelala.
nilijaribu kujiamsha lakini sikuamka, basi nikapotezea. Nikaamua nitoke nje niende dukani nikanunue Azam Energy lakini cha kushangaza kila nikipiga hatua siendi popote.
Nikachanganikiwa! nikajaribu kujiamsha lakini wapi.
Akili ikanijia labda Mimi ni nafsi inatakiwa nilale juu ya mwili ili niingie ndani ndio ntaamka.
Basi nikafanya hivyo lakini cha kushangaza!, sikuwa nafsi nilikuwa na Mwili kama ule uliolala kitandani.
Nikatumia sana nguvu kuingia ndani lakini ilishindikana basi nikaamua kulala pengeni ya ule mwili mwingine kwasababu nilikuwa siwezi kwenda popote.
Nimetafakari sana hii ndoto bila majibu.
nilijaribu kujiamsha lakini sikuamka, basi nikapotezea. Nikaamua nitoke nje niende dukani nikanunue Azam Energy lakini cha kushangaza kila nikipiga hatua siendi popote.
Nikachanganikiwa! nikajaribu kujiamsha lakini wapi.
Akili ikanijia labda Mimi ni nafsi inatakiwa nilale juu ya mwili ili niingie ndani ndio ntaamka.
Basi nikafanya hivyo lakini cha kushangaza!, sikuwa nafsi nilikuwa na Mwili kama ule uliolala kitandani.
Nikatumia sana nguvu kuingia ndani lakini ilishindikana basi nikaamua kulala pengeni ya ule mwili mwingine kwasababu nilikuwa siwezi kwenda popote.
Nimetafakari sana hii ndoto bila majibu.