Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we pia utakufaUtakufa.
Full stop
Channel gan walion
Alipata hallucinations akiwa kazidisha energy drinks hivyo caffeine ikamnyima usingizi akawa anaota bila kupata body paralysisHallucinations
Ina maanisha kwamba ulikuwa nje ya mwili wakoHivi Majuzi niliona nimeamka kutoka usingizini lakini cha kushangaza nilijiona bado nipo kitandani nimelala.
nilijaribu kujiamsha lakini sikuamka, basi nikapotezea. Nikaamua nitoke nje niende dukani nikanunue Azam Energy lakini cha kushangaza kila nikipiga hatua siendi popote.
Nikachanganikiwa! nikajaribu kujiamsha lakini wapi.
akili ikanijia labda Mimi ni nafsi inatakiwa nilale juu ya mwili ili niingie ndani ndio ntaamka.
Basi nikafanya hivyo lakini cha kushangaza!, sikuwa nafsi nilikuwa na Mwili kama ule uliolala kitandani.
Nikatumia sana nguvu kuingia ndani lakini ilishindikana basi nikaamua kulala pengeni ya ule mwili mwingine kwasababu nilikuwa siwezi kwenda popote.
Nimetafakari sana hii ndoto bila majibu.
Nimeota kweli lakini sijachukulia serious kiivyo, kwa sababu kipindi nipo chuo nilikuwa nafanya Astral projection lakini sikufanikiwa.Sema tu Kweli,
Umetoka kuangalia muvi za kinigeria ukaamua kuigeuza kuwa Uzi!!
Kama uko serious Kweli umetoa ,hiyo ni hatari.
Kama una amini kwanini umeleta uzi? Au unapenda kusikia tu watu wakireply utakufa soon, utakufa kabla ya Xmas?Nimeota kweli lakini sijachukulia serious kiivyo, kwa sababu kipindi nipo chuo nilikuwa nafanya Astral projection lakini sikufanikiwa.
Lakini hapa majuzi nimejikuta naota nipo nje ya mwili.
Naamini ni Astral Projection.
Unataka kunigombanisha na ndugu zangu. Siamini kwenye MiraclesMda si mrefu, ila kifo chako hakitakuwa cha kawaida, inaonekana utachukuliwa msukule na ndugu watazika tu kitu chenye mfano wa mwili wako. Ongeza maombi, pia unaweza ni PM kwa ajili ya maombi zaidi na sadaka. Amen
Kufa kupo tuu,,hata ukimaliza mwakaUnakufa humalizi mwaka
Hii kitu mbayaaaaa 😭body paralysis
Ulitaka kusemaje bado sijakuelewa. Mimi nimempa maana ya ndoto. Ww ulikua unasemaje hapo?Kufa kupo tuu,,hata ukimaliza mwaka
Nifundishe basi hiyo meditation nawe una mapozi km byser 😹Sijagoma
Siwezi kugoma, ila mimi nafundisha meditation hizo lucid dreams huwa ni matokeo tu .
Kiroho tayari ushakufa, Bado mwili tu.Ntakufa lini?
Hahaha toka lini nikawa hivyo? Sema tu kama miezi miwili hii nakua bize kidogo kwa sababu zoezi lenyewe linahitaji mda .Nifundishe basi hiyo meditation nawe una mapozi km byser 😹
Ukiwa sawa tuanze darasaHahaha toka lini nikawa hivyo? Sema tu kama miezi miwili hii nakua bize kidogo kwa sababu zoezi lenyewe linahitaji mda .