Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala usijal ,lazima nifanye hivyo.Ukiwa sawa tuanze darasa
👏👏Haiwezi kuwa astral projection. Hiyo ni ndoto tu.
Mwezi hutoboiNtakufa lini?
Nilitaka niseme pia, huenda ameshachukuliwa msukulee.Mda si mrefu, ila kifo chako hakitakuwa cha kawaida, inaonekana utachukuliwa msukule na ndugu watazika tu kitu chenye mfano wa mwili wako. Ongeza maombi, pia unaweza ni PM kwa ajili ya maombi zaidi na sadaka. Amen
Wewe ushachukuliwa msukule. Sasa ambia watu wako wap umeweka pesa maana hutoboi. Nasisitiza wewe ni msukule! Au umeanza kuvuta bangiii ukubwaniHivi Majuzi niliona nimeamka kutoka usingizini lakini cha kushangaza nilijiona bado nipo kitandani nimelala.
nilijaribu kujiamsha lakini sikuamka, basi nikapotezea. Nikaamua nitoke nje niende dukani nikanunue Azam Energy lakini cha kushangaza kila nikipiga hatua siendi popote.
Nikachanganikiwa! nikajaribu kujiamsha lakini wapi.
akili ikanijia labda Mimi ni nafsi inatakiwa nilale juu ya mwili ili niingie ndani ndio ntaamka.
Basi nikafanya hivyo lakini cha kushangaza!, sikuwa nafsi nilikuwa na Mwili kama ule uliolala kitandani.
Nikatumia sana nguvu kuingia ndani lakini ilishindikana basi nikaamua kulala pengeni ya ule mwili mwingine kwasababu nilikuwa siwezi kwenda popote.
Nimetafakari sana hii ndoto bila majibu.
Huwa inashauriwa ukiota ndoto usimwambie mtuHivi Majuzi niliona nimeamka kutoka usingizini lakini cha kushangaza nilijiona bado nipo kitandani nimelala.
nilijaribu kujiamsha lakini sikuamka, basi nikapotezea. Nikaamua nitoke nje niende dukani nikanunue Azam Energy lakini cha kushangaza kila nikipiga hatua siendi popote.
Nikachanganikiwa! nikajaribu kujiamsha lakini wapi.
akili ikanijia labda Mimi ni nafsi inatakiwa nilale juu ya mwili ili niingie ndani ndio ntaamka.
Basi nikafanya hivyo lakini cha kushangaza!, sikuwa nafsi nilikuwa na Mwili kama ule uliolala kitandani.
Nikatumia sana nguvu kuingia ndani lakini ilishindikana basi nikaamua kulala pengeni ya ule mwili mwingine kwasababu nilikuwa siwezi kwenda popote.
Nimetafakari sana hii ndoto bila majibu.
🤣🤣Kwahiyo hapa ameandika yupi Kati ya yule aliye lala na wewe uliyekuwa unamuamsha.
Usinywe tena Energy na Karanga mbichi
Imeekaaj mkuu hiyMkuu labda ni (astral projection) ilifanyika nje ya mwili kuna baadhi ya nyuzi wameongelea hilo tukio. Ngoja wajuzi waje
ni vizuri kwenda straight to the point lakini si kwa style yako mkuu😅Unakufa humalizi mwaka
Imeekaaj mkuu hiy