🤣🤣🤣🤣🙌Unakufa humalizi mwaka
I think na mm nilifanikiwa lakini ilikuwa ni rahisi sana kuliko siku zote nilipokuwa napractice.
Ulifariki lini mkuu?Mbona kama hiyo hali utokea mara tu mtu anapofariki! lakini ngoja wataalamu waje.
Fursa chap ishapatikanaMda si mrefu, ila kifo chako hakitakuwa cha kawaida, inaonekana utachukuliwa msukule na ndugu watazika tu kitu chenye mfano wa mwili wako. Ongeza maombi, pia unaweza ni PM kwa ajili ya maombi zaidi na sadaka. Amen