Nimeota Uhuru kaanguka vibaya

He is growing old

"People who failed to achieve something in life think social media is a popularity contest to score cheap points." ~ Mzilikazi wa Afrika
 

The Kikuyu (22 percent of Kenya's population) are the largest of more than 40 ethnic groups that comprise Kenya's population. Some of the other groups include the Luhya (14 percent), Luo (13 percent), Kalenjin (12 percent), Kisii (6 percent), and the indigenous Somalis, Maasai, and Turkana.
 
Mathematically wako close sana.
Kikuyu+Kalenjin=22+12=34%
Luo+Luhya+Kamba=14+13+10= 37%

Waswahili wa Mombasa, Somali, Maasai, Turkana= Undecided(battle field)

huo ndo uchaguzi wa Kenya. Labda Ruto wa mashinani afanye kazi ya ziada kwa kupunguza 5% ya wakalejin
 
Kuota ameanguka yawezekana ndo kushinda kwake.
Maana, nakumbuka 2015 wakati wa Uchaguzi niliota Magufuli ameanguka kutoka juu akiwa anaviringika hadi chini. Lakini cha ajabu alifika Chini akiwa amesimama.
Nikajua kabisa Uchaguzi huu utakuwa mgumu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Team nasa

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Kuna jamaa yangu amechizika anaamini yeye ni Uhuru na huyu rais ana impersonate, akishalipuliza anataka kwenda Nairobi akaitizhe press conference. Bangi haijawahi kumwacha mtu salama
 
Acha kula njugu usiku ili kuepukana na ndoto za mateja!
 

Rudi usingizini ukamalizie hio ndoto
Atashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…