Nimeoteshwa Baraza la Mawiziri linaenda kufanyiwa mabadiliko kabla 2022 haijaisha

Nimeoteshwa Baraza la Mawiziri linaenda kufanyiwa mabadiliko kabla 2022 haijaisha

Kwa sasa, mabadiliko yoyote yale, bila ya katiba mpya, ni kupoteza tu muda. Matatizo makubwa ya nchi hii ni ya kimfumo. Huwezi kuyamaliza kwa kubadilisha sura za watu.
 
Hiyo imekwishaeleweka, Mwigulu, Nape na January hawatagusws licha ya baadhi ya watu kutaka sana waondolewe kwenye baraza.
Hao wasipodhibitiwa na kufurushwa, watamtimua mama wa Kambo wauze shamba wagawane Ili wakale Bata huko ughaibuni.

Watoto waasi wameungana na wajomba wenye Nia mbaya kuhakikisha shamba linauzwa.

Uliona wapi nyumba iliyofitinika IKASIMAMA???
 
I have lost complete faith in this administration.

Nachosubiri na kuomba Mungu wamalize tu muda wao waende.

Kama kuna lolote la maana unasubiri toka kwao sahau. Fanya mambo yako tu.
Mabadiliko pekee yatakayoleta mabadiliko halisi na ya kweli ni KATIBA MPYA. Mengine yote ni usanii, ni kubadilisha rangi, lakini pagale ni lile lile.
 
Mabadiliko pekee yatakayoleta mabadiliko halisi na ya kweli ni KATIBA MPYA. Mengine yote ni usanii, ni kubadilisha rangi, lakini pagale ni lile lile.
KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA ndo Tumaini Kwa watz Kutoka ktk vifungo.
 
Hatimae Ile hali tarajiwa miongoni wa wananchi na wapenzi wa siasa na maendeleo, baada ya kimya kirefu na subra kubwa, maombi, hamasa, matarajio, kiu yao, ya kuona witikio wa wito na utekelezaji wako, ngoja ngoja imelamba Chali na chereko chereko na simanzi zina taradadi.

Mvua za vuli kama zinavyochelewa na kutarajiwa kunyesha Kwa kishindo kikubwa.

Nimeoteshwa mamlaka inaenda kufanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kabla mwaka huu haujaisha, ilitarajiwa sana ndani ya mwezi huu hayo Mabadiliko ambayo yakafanywa kuchagizwa na Precious Saga.

Ndoto hii inaenda kutimia soon piga ua Baraza linaenda kupanguliwa any time soon.

I hayo machache ubishi na kupinga ni vipaji pia. Anaebisha shukrani.

The truth loading...
lipangulie au lisipanguliwe utafaidika na nini??
 
Hatimae Ile hali tarajiwa miongoni wa wananchi na wapenzi wa siasa na maendeleo, baada ya kimya kirefu na subra kubwa, maombi, hamasa, matarajio, kiu yao, ya kuona witikio wa wito na utekelezaji wako, ngoja ngoja imelamba Chali na chereko chereko na simanzi zina taradadi.

Mvua za vuli kama zinavyochelewa na kutarajiwa kunyesha Kwa kishindo kikubwa.

Nimeoteshwa mamlaka inaenda kufanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri kabla mwaka huu haujaisha, ilitarajiwa sana ndani ya mwezi huu hayo Mabadiliko ambayo yakafanywa kuchagizwa na Precious Saga.

Ndoto hii inaenda kutimia soon piga ua Baraza linaenda kupanguliwa any time soon.

I hayo machache ubishi na kupinga ni vipaji pia. Anaebisha shukrani.

The truth loading...
Trab na trat
 
Back
Top Bottom