Mkuu, Ulianza na mshahara wa shingapi ?Kipindi najiunga JF nilianza na cheo cha member, hata mwisho wa mwezi haujafika tayari wamenipromote kuwa Senior Member. Je ifikapo mwisho wa mwezi ntapata mshahara wa cheo cha awali au cheo kipya?
Je, madaraja ya mishahara yakoje?
Chakufuta uzi za watuUkipewa "moderate" ni cheo gani?
Bure?Shukuru umepanda cheo, sasa kitendee vema cheo chako, leta nyuzi zenye hadhi ya cheo chako cha senior member
Mhasibu OKW BOBAN SUNZU au?Muone mhasibu wetu aweze kukuhudumia
Uliombaje ajira bila kufahamu ujira utakaopewa/lipwa?Kwa staili hii utakuwa unaelewa hata kanuni za kikokotoo chako kweli?Kipindi najiunga JF nilianza na cheo cha member, hata mwisho wa mwezi haujafika tayari wamenipromote kuwa Senior Member. Je ifikapo mwisho wa mwezi ntapata mshahara wa cheo cha awali au cheo kipya?
Je, madaraja ya mishahara yakoje?
eeBure?
Kipindi najiunga JF nilianza na cheo cha member, hata mwisho wa mwezi haujafika tayari wamenipromote kuwa Senior Member. Je ifikapo mwisho wa mwezi ntapata mshahara wa cheo cha awali au cheo kipya?
Je, madaraja ya mishahara yakoje?
Asi thubutu 🤓😂Ukipata demu humu mkaanza CC utakua platinum member
Utaendelea kula ban tuKipindi najiunga JF nilianza na cheo cha member, hata mwisho wa mwezi haujafika tayari wamenipromote kuwa Senior Member. Je ifikapo mwisho wa mwezi ntapata mshahara wa cheo cha awali au cheo kipya?
Je, madaraja ya mishahara yakoje?