Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata chizi anawaona wazima km mitambo.bado ramani inasoma
Pale dawa ikishaanza fanya kazi.[/QUOT
Ha ha ha Limbwata hapana chezea hiyo kitu.
Ha ha haAta chizi anawaona wazima km mitambo.
Mpe mkuu nanyayote haiwezekani, kuna bajeti ya bia na nyamachoma hapo
Kwa hiyo fugure mh!!1.5 nipo vizuri usilete dharau[emoji41] [emoji41]
ha ha haaa! mkuu asilete dharau aseee....750,000 ya mamiii1.5 nipo vizuri usilete dharau[emoji41] [emoji41]
Baki na robo mkuu, hawa viumbe ukiwatumia vizuri watakusaidia kupiga hatua kimaendeleo.nimepanga kumkabidhi mke wangu nusu ya mshahara wangu kwa sababu najijua.
[emoji23] [emoji23] we jamaa umeua kbsaAta chizi anawaona wazima km mitambo.
mkuu huyu mamsapu kwa bajeti nampigia saluti, ukimwachia laki 4 na nusu ya chakula kwa mwezi lazima mwisho wa mwezi hela ibaki, kosea vyote usikosee ukaja kuoa mfujaji.Baki na robo mkuu, hawa viumbe ukiwatumia vizuri watakusaidia kupiga hatua kimaendeleo.
Ikiwa sio wa mashindano ya mavazi na anaona mbali, mpe 75%
kweli mkuu, oa mwanamke mwenye upendo utafaidi.Kunawanawake wanakili yaani siku umechacha hujui ata utapata mtonyo wapi. Utasikia Baba nonio kuna hela nilikuwa nacheza upato kwenye bajeti ulokiwa unaniachia. Lakini wengine utakuja kusimulia hapa atakachokufanya
Wewe ndio wale watu Yesu aliokuwa akiwasema,sasa umebakiza moja tu ili uende mbinguni nusu nyingine ya mshahara wako kawatolee Maskininimepanga kumkabidhi mke wangu nusu ya mshahara wangu kwa sababu najijua.
You look so cute and sexy my dear!........Ulivyo mzuri Mungu anakuona!Mpe wote ukiwa na shida atakupa
Uskute hyo Gross [emoji2][emoji2][emoji2]1.5 nipo vizuri usilete dharau[emoji41] [emoji41]