Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Place iko overrated kama vile ilikuwa Mbalamwezi...na place za hivyo tena zikikuwa beach ni full kujaza kuku wa kienyeji
I've been telling this to people ila kondoo wa sehemu za starehe wapo wengi sana bongo.
Unaweza kuwa hupapendi ila unataka sehemu kwa ajili ya mapichapicha utambie watu so huna namna
 
I've been telling this to people ila kondoo wa sehemu za starehe wapo wengi sana bongo.
Unaweza kuwa hupapendi ila unataka sehemu kwa ajili ya mapichapicha utambie watu so huna namna
Mi nasema uwepo wa instagram/mitandao una overrate sana maeneo...

Ukiacha hizi places za starehe, kuna ujinga pia wa overrating upo sehemu za misosi...

Unapata eneo lina jina kubwa mtandaoni as if ni first class royal palace, nenda sasa kupatembelea uone madudu utayoyapata...mfano tu ni sehemu kama "batapoint" jina kubwa mtandaoni kama TacoBell, sasa hiyo place in reality ni ka gengeni kwa Chesco...
 
Mi nasema uwepo wa instagram/mitandao una overrate sana maeneo...

Ukiacha hizi places za starehe, kuna ujinga pia wa overrating upo sehemu za misosi...

Unapata eneo lina jina kubwa mtandaoni as if ni first class royal palace, nenda sasa kupatembelea uone madudu utayoyapata...mfano tu ni sehemu kama "batapoint" jina kubwa mtandaoni kama TacoBell, sasa hiyo place in reality ni ka gengeni kwa Chesco...
Sana mkuu na ndio maana si sawa kuamini maeneo ya mitandaoni sababu hii hii.

Mitandao inafanya watu wakubali kutoboka unnecessarily kwenda kwenye maeneo ambayo mengi yamejaa hype tu but ridiculously expensive just because ndio zinazotamba mitandaoni
 
Poleni na majukumu ya mwisho wa mwaka wadau.

Niseme tu nimezunguka maeneo mengi sana ya starehe hapa DSM mengine ya kistaarabu na mengine ya kishenzi ila sijawahi fika beach kidimbwi.

Kwanini Beach Kidimbwi?

1. Salim Kikeke akiwa likizo alitembelea beach kidimbwi na akapiga picha na AY.
2. Nilisikia pia kuhusu beach kidimbwi kwenye wimbo wa msanii Roma na Stamina-Corona.
Sasa nimetamani nikatembelee hilo eneo nione kinachojiri. Hivyo naomba kujua yafuatayo:
1. Location yake
2. Je, kuna hotel ya kulala au fukwe tu?
3. Gharama za vinywaji na chakula ikoje au ndio maji kubwa 7,000/=
4. Je, naweza kwenda na familia ya mke na mtoto?
5. Kuna mapaka?
Kwa nn usichukuwe mda wako ukaenda kuobserve ili kujiridhisha
 
Pesa Sina mpaka nimesema Sasa mwisho kunywa pombe Sasa haya mambo ya kidimbwi tena yananifanya nirudi kuwa kijana na full mares ya pombe.

Ila starehe kila mtu anataka wachiliambali kupenda tatizo unaendaje kutumia laki kwa siku moja?
 
Kidimbwi ni sehemu iko overated sana. Pa kawaida na mtu aliyepapaisha zaidi ni Diamond pia sababu anaishi kama nyumba ya nne kutoka kidimbwini na wasafi chawa wengine.

Ukivuka delta ile unaona bangaloo la marehemu Mama Rwakatare nemc walilotaka kulivunja. Pisi hakuna asubuhi na jioni zikija kwenye pikipiki huwa tunaziona za kawaida sana.
 
Kuna mtu anabisha hakuna wauzaji eti. Yaan sehemu iwe hot hivyo ikose wauzaji? Masikhara kweli haya. Cha kufahamu si wote wauzaji ila wauzaji wapo tena wasomi wazuri tu kwa mbinu tofauti. Wako naowajua walisoma chuo nilichosoma ndo mitaa yao. Wanahama na upepo panapohit.
Wewe huuzi mkuu??
 
Ndo wapi huko mbona sipafahamu mie.
Xproxy (2).jpg
 
Naomba kujua mmiliki na ni yeye anamilikia pia tips na juliana
Majina yake?
 
Back
Top Bottom