Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
shot 1 au ๐๐๐25,000/=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shot 1 au ๐๐๐25,000/=
Wala usitamani kupafaham, maana ni njia ya kwenda motoni...๐๐Ndo wapi huko mbona sipafahamu mie.
Kabisa haitakiwi kuwajibu. Naunga mkono hoja.Bariki
Asante mkuu.
๐ค๐คKuna mapaka?
I've been telling this to people ila kondoo wa sehemu za starehe wapo wengi sana bongo.Place iko overrated kama vile ilikuwa Mbalamwezi...na place za hivyo tena zikikuwa beach ni full kujaza kuku wa kienyeji
Mi nasema uwepo wa instagram/mitandao una overrate sana maeneo...I've been telling this to people ila kondoo wa sehemu za starehe wapo wengi sana bongo.
Unaweza kuwa hupapendi ila unataka sehemu kwa ajili ya mapichapicha utambie watu so huna namna
ntaenda nimeboost sasa, nikianza kulewa mtaani ndo naenda.
maana hvihvi ntachoma pesa nyingi sana
Sana mkuu na ndio maana si sawa kuamini maeneo ya mitandaoni sababu hii hii.Mi nasema uwepo wa instagram/mitandao una overrate sana maeneo...
Ukiacha hizi places za starehe, kuna ujinga pia wa overrating upo sehemu za misosi...
Unapata eneo lina jina kubwa mtandaoni as if ni first class royal palace, nenda sasa kupatembelea uone madudu utayoyapata...mfano tu ni sehemu kama "batapoint" jina kubwa mtandaoni kama TacoBell, sasa hiyo place in reality ni ka gengeni kwa Chesco...
ndio mkuu.. raha na starehe nazipenda ila ndo kama hvo pesa kdgo, ni heri nilewe nikienda nisuuze tu.. na kuangalia vyupi alafu nirudi kwenye kibanda changu nilaleunaenda kusuuzia
Kwa nn usichukuwe mda wako ukaenda kuobserve ili kujiridhishaPoleni na majukumu ya mwisho wa mwaka wadau.
Niseme tu nimezunguka maeneo mengi sana ya starehe hapa DSM mengine ya kistaarabu na mengine ya kishenzi ila sijawahi fika beach kidimbwi.
Kwanini Beach Kidimbwi?
1. Salim Kikeke akiwa likizo alitembelea beach kidimbwi na akapiga picha na AY.
2. Nilisikia pia kuhusu beach kidimbwi kwenye wimbo wa msanii Roma na Stamina-Corona.
Sasa nimetamani nikatembelee hilo eneo nione kinachojiri. Hivyo naomba kujua yafuatayo:
1. Location yake
2. Je, kuna hotel ya kulala au fukwe tu?
3. Gharama za vinywaji na chakula ikoje au ndio maji kubwa 7,000/=
4. Je, naweza kwenda na familia ya mke na mtoto?
5. Kuna mapaka?
Surviving!Kunawatu wanaishi..na wengine tunaexist..
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]Hata Mimi siendi na waifu mahali mpaka nijiridhishe hapana chura za kunikonfyuz
Pisi za sigara kali hiziPisi zenyewe ndio Hizi? ๐๐๐๐๐๐
Wewe huuzi mkuu??Kuna mtu anabisha hakuna wauzaji eti. Yaan sehemu iwe hot hivyo ikose wauzaji? Masikhara kweli haya. Cha kufahamu si wote wauzaji ila wauzaji wapo tena wasomi wazuri tu kwa mbinu tofauti. Wako naowajua walisoma chuo nilichosoma ndo mitaa yao. Wanahama na upepo panapohit.
Ndo wapi huko mbona sipafahamu mie.