Irenga
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 2,639
- 1,873
Sio kila sehemu lazima ufahamu maaana sio sehemu zote utaenda hapa Duniani.Ndo wapi huko mbona sipafahamu mie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila sehemu lazima ufahamu maaana sio sehemu zote utaenda hapa Duniani.Ndo wapi huko mbona sipafahamu mie.
maswali yote yamo au sio ha ha ha ha haWewe sasa ndiyo umetoa desa la UE kabisa.
Shukrani sana ubarikiwe ila Mungu ndo anajua mimi ni shoga au iron man asante chizi maarifa.Ndo tatizo la mashoga. Mnadhani kila mtu ana utani na ninyi. Mtu amejibu kulingana na anachofahamu wewe kama ungekuwa unafahamu ungeuliza? Dont be that much dumb. The question was open needed answer. If you werent satisfied with the you should just moved on waiting for the what seems to be the right answer. Wewe wa wapi? Unatoa toa tu povu kila sehemu?
hapa mzee lazima watoto wakali waje kuomba kupiga nayo picha iyo Hennessy200,000 had 650,000 inategemea Ni Hennessy ipi unataka ila bei ndio hizo hapo
Umenifanya nicheke kijinga mbele za watuMkuu kwani una bifu gani na Mapaka[emoji23][emoji23]
hao watoto wa mbwa wametokea kawe uswahilini wamekuja kubahatisha bahati zao alafu wanakuwaga mafundi balaaaPisi zenyewe ndio Hizi? 😂😂😂😂😂😂
Asante kushukuru.Shukrani sana ubarikiwe ila Mungu ndo anajua mimi ni shoga au iron man asante chizi maarifa.
Mchongo huo, yaani saa 7&8 ile unapitia madesa ghafla unakomaa na kitini kimoja. Asbh ndiyo lenyewe unatoka fast kwa kucheka cheka tuu.maswali yote yamo au sio ha ha ha ha ha
kuanzia elfu 5bia ni 2500, 3000 au 4000??. nijue naenda na bajeti kiasi gani..
na bei ya local beer vs imported beer!.
Henessy ya bei rahisi ni elfu 65 sasa sijui hizo za elfu 25 za mils ngapi? au wanampimia kwenye kikombe cha kahawa?
Thank you in advance mkuu, kuna mpumbavu anajiita chizi maarifa mimi nipo serious kupata elimu nisioifahamu yeye analeta utani usio na maana.
Asante mkuu.unawaignore tu watu kama hao mkuu me sijibugi mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We tulia tu man. Ukienda niambie tips na mimi niende.
Bariki
Asante mkuu.
Kweli kaka busara ndo kitu muhimu kabisa.Asante kushukuru, hapa duniani tunaish kwa kuambiana ukweli, kusapotiana na kuelimishana, wanaokwamisha hii dunia ni watu wabinafsi, unaweza kuta mtu anajua kabisa au anaweza kabisa toa msaada ila kwakuwa mbinafsi anaamua kukwepesha au kuongea uwongo ilimradi tu usiipate taarifa iliyo sahihi, ndio mana hata kwene serious mtu anaweka utani
ntaenda nimeboost sasa, nikianza kulewa mtaani ndo naenda.bia
kuanzia elfu 5
Hata Mimi siendi na waifu mahali mpaka nijiridhishe hapana chura za kunikonfyuzKuna jamaa hapa anasema nikuambie usiende na mkeo,utajilaumu. Utashindwa kuzungusha antena huku Na huku.
Hupajui, halafu unapaelezea kwa undani!
Punguza uongo wewe, unapajua vizuri!