Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

nimeamini panatisha Kidimbwi na Wanachuo upo sahihi
View attachment 1661923
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji28][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Duuhhh!! Aisee, basi inaonekana mabinti wa chuo kikuu wanatumia mbinu sana kujiuza na sio direct kama ulivyosema (kulinda reputation zao).
Nadhani hii kitu ndo mkuu The Boss alinishtua kule kwenye ule uzi wangu.
Hapa inahitajika kuumiza kichwa zaidi katika kutafuta njia za kufanya tafiti ili kuibua masuala ya aina hii na kutafuta solutions.
Solution for what????...leave them,we can't loose money and time upon the non sense
 
Back
Top Bottom