Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Kibongobongo wengi wanapiga hizo cognac za bei za kawaida za 35,75,80 ukumbuke cognac whisky nyingi bei za ulaya tofauti na kwetu na hata ladha hua kama zinatofautiana, tungepata watu wa ukanda wa baridi kama Russia tuwaulize ladha ya vodka kama ni sawa au vipi?
Uko sahihi Kuna local na classic Hennessy hizo za 80 ndizo zinauza Sana kwenye supper maket ila hizo za 200k na kuendelea Ni pure na zinauzwa Sana maeneo ya viwanja ambako watu hawajiuliz Sana kuhusu bei
 
Na watu wanaagiza bucket ya hennessy.zinakuja hapo 12 au 6..

Acha kabisa , kuna club inaitwa Maison iko Seacliff ... angalia bei zao ..na watu wanakula maji kama kawaidaa ! Bongo hii usiseme "vyuma vimekaza" sema MIMI sina hela!!

20201228_172518.jpg
 
Inawezekana maana kwenye vilabu wanavojifanya wako classy wanabutua bei, ndio maana tukichalala unafuata mizigo kwenye maduka ya jumlajumla unatia ndani unatulia kimya.
Yes. Nilikanunua dukani mwenzangu nikamtumia mtu kazawadi. Kwetu uchaggani zawadi ya pombe kwa Mzee ni kitu cha heshma sana[emoji23][emoji23] mliman city nilikuta kwa elf 23. Ukienda kama huko sasa ushuani ndo hizo bei za kuwagonga wa masaki na waliovuna mazao mkoa[emoji23][emoji23]
 
Kuna mtu anabisha hakuna wauzaji eti. Yaan sehemu iwe hot hivyo ikose wauzaji? Masikhara kweli haya. Cha kufahamu si wote wauzaji ila wauzaji wapo tena wasomi wazuri tu kwa mbinu tofauti. Wako naowajua walisoma chuo nilichosoma ndo mitaa yao. Wanahama na upepo panapohit.
Mimi najua wanne ninaosoma nao wanaenda uko atleast wiki 3 kati ya 4 za mwezi. Ile miezi hakuna test wala UE wanaenda hata twice per week. Niko tiyari kubeti mkono kama hawajiuzi kule ukatwe.
Ndio maana nikakubaliana na utafiti wa Dr. Wansegamila kuwa wanachuo hawajiuzi direct wala mitandaoni. Ni kwa mbinu kama hizi ikiwa mtandaoni ni Instagram atapost mitego utamfata DM. Sio eti umkute barabarani au badoo.
 
Kama unataka wadangaji wa mjini aka siku hizi wanaitwa pic kale nenda mkuu ila uwe angalu na laki 3 hivi za kutupa
 
Mimi najua wanne ninaosoma nao wanaenda uko atleast wiki 3 kati ya 4 za mwezi. Ile miezi hakuna test wala UE wanaenda hata twice per week. Niko tiyari kubeti mkono kama hawajiuzi kule ukatwe.
Ndio maana nikakubaliana na utafiti wa Dr. Wansegamila kuwa wanachuo hawajiuzi direct wala mitandaoni. Ni kwa mbinu kama hizi ikiwa mtandaoni ni Instagram atapost mitego utamfata DM. Sio eti umkute barabarani au badoo.
Ndio. Ninkweli kabisa. Mtu sijui anabishaje wakati tunawaona. Na tunawajua. Mtu hana kazi wala kwao hawana hela unamwona anazunguka mara leo Arusha mara kesho mwanza mar wapi... na wanajiuza kwa vigogo balaa. UKIMWI hauishi leo wala kesho.
 
Mimi najua wanne ninaosoma nao wanaenda uko atleast wiki 3 kati ya 4 za mwezi. Ile miezi hakuna test wala UE wanaenda hata twice per week. Niko tiyari kubeti mkono kama hawajiuzi kule ukatwe.
Ndio maana nikakubaliana na utafiti wa Dr. Wansegamila kuwa wanachuo hawajiuzi direct wala mitandaoni. Ni kwa mbinu kama hizi ikiwa mtandaoni ni Instagram atapost mitego utamfata DM. Sio eti umkute barabarani au badoo.
Duuhhh!! Aisee, basi inaonekana mabinti wa chuo kikuu wanatumia mbinu sana kujiuza na sio direct kama ulivyosema (kulinda reputation zao).
Nadhani hii kitu ndo mkuu The Boss alinishtua kule kwenye ule uzi wangu.
Hapa inahitajika kuumiza kichwa zaidi katika kutafuta njia za kufanya tafiti ili kuibua masuala ya aina hii na kutafuta solutions.
 
Ndio. Ninkweli kabisa. Mtu sijui anabishaje wakati tunawaona. Na tunawajua. Mtu hana kazi wala kwao hawana hela unamwona anazunguka mara leo Arusha mara kesho mwanza mar wapi... na wanajiuza kwa vigogo balaa. UKIMWI hauishi leo wala kesho.

Hakuna ubishi, mwanafunzi kaja mjini mara ya kwanza kwa nauli ya kuuza ndizi tena anakuja amefunga kitambaa anakaa muda mfupi ashajua skin ni nini, location mikoa tofautitofauti, ujue tayari huyo mjasiliamali mtu katoka kibong’oto huko hana ndugu mwanza ghafla ashazijua malaika na villa na sio kwamba kaenda field huko au ana research anafanya hapana bata tu.
 
Back
Top Bottom