Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Nimepasikia sana Beach Kidimbwi. Kunani huko?

Wengine makonkodi wa kujiuza hawa wanaouza vitu online unakua manzi yeye anapost pochi akibadili sana viatu tena bidhaa zake za kiume tu ujue tayari
 
Nina dhambi ila nikisoma nyuzi zenu najikuta sina Dhambi kiviiiile.
Unajua mkuu sidhan kama ni dhambi kama mtu anafanya statehe yake na hawabugudhi wengine. Labda tuseme matokeo baada ya ulevi yale matendo ndo tatizo. Na sisi tinavyo vyetu[emoji28] kwahiyo siwezi wasimangi
 
Hakuna ubishi, mwanafunzi kaja mjini mara ya kwanza kwa nauli ya kuuza ndizi tena anakuja amefunga kitambaa anakaa muda mfupi ashajua skin ni nini, location mikoa tofautitofauti, ujue tayari huyo mjasiliamali mtu katoka kibong’oto huko hana ndugu mwanza ghafla ashazijua malaika na villa na sio kwamba kaenda field huko au ana research anafanya hapana bata tu.
Ila haya mambo ya kufata mkumbo aisee.
Maybe ni kwakua wamekuta mazingira ambayo hawajawahi kuexperience kwahiyo ili kukeep na style lazima wawe na kipato cha ziada. Maisha hayaaa... wengine kwao maisha magumu jaman maybe hawana hela kukidhi mahitaji ndo maana. Wachunguze na sababu tusiwe tinawalaumu tu
 
Wengine hatujawahi jichanganya kwenye sehemu za starehe kwahiyo ndio nashangaa humu watu wanavyopaelezea
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yes. Sijawahi fika binafsi. Sipendi sehem zenye mkusanyiko mkubwa wa watu. Tena na hii covid ndo balaa
 
Sio sawa huu wetu ni uchafu tu
Kibongobongo wengi wanapiga hizo cognac za bei za kawaida za 35,75,80 ukumbuke cognac whisky nyingi bei za ulaya tofauti na kwetu na hata ladha hua kama zinatofautiana, tungepata watu wa ukanda wa baridi kama Russia tuwaulize ladha ya vodka kama ni sawa au vipi?
 
Wengine makonkodi wa kujiuza hawa wanaouza vitu online unakua manzi yeye anapost pochi akibadili sana viatu tena bidhaa zake za kiume tu ujue tayari
Wengine wanatafuta biashara za cuzo au rafiki aliyefanikiwa. Anapost hizo na kujikuta mjasiriamali ili usishtuke hela anapata wapi na akisafiri anaenda kufanya nini. Sasa jichanganye uige biashara yake ili mfanye extension sehemu nyingine uone utavopata za uso. Ile biashara ni mitego tu na 'money laundering' ya [emoji77] power.
 
Hakuna ubishi, mwanafunzi kaja mjini mara ya kwanza kwa nauli ya kuuza ndizi tena anakuja amefunga kitambaa anakaa muda mfupi ashajua skin ni nini, location mikoa tofautitofauti, ujue tayari huyo mjasiliamali mtu katoka kibong’oto huko hana ndugu mwanza ghafla ashazijua malaika na villa na sio kwamba kaenda field huko au ana research anafanya hapana bata tu.
Utaona WhatsApp "mwenye anaenda Mwanza wiki hii jamanii[emoji17][emoji17]".
Wikiend akienda anafikia sehemu za starehe. Sasa how comes mtu ambaye hakuwa na nauli ya kwenda Mwanza anakuwa na hela ya kula bata uko. Akirudi anapitia Samaki Samaki pale Moro.
 
Wengine wanatafuta biashara za cuzo au rafiki aliyefanikiwa. Anapost hizo na kujikuta mjasiriamali ili usishtuke hela anapata wapi na akisafiri anaenda kufanya nini. Sasa jichanganye uige biashara yake ili mfanye extension sehemu nyingine uone utavopata za uso. Ile biashara ni mitego tu na 'money laundering' ya [emoji77] power.
Eeehh.. hii mpyaaaaa.. kwamba kumbe ni mbinu nyingine hii[emoji119][emoji119][emoji119] ili waonekane wanafanya biashara hawako idle ni wapambanaji kumbe mbele kwa mbele...
 
[emoji23][emoji23] nikukumbushe tu, hata sisi wakopesha kwa riba hatutaki kukopesha maana tutaua urafiki na peaa tutapoteza
nimeamini panatisha Kidimbwi na Wanachuo upo sahihi
1609190068892.png
 
Back
Top Bottom