Vijana kama sikosei watatu wanaomiliki tipsy na kidimbwi mmoja wapo anaitwa Patrick Kamugumya plus wengine, Juliana anaitwa Greshasi ni single owner.Naomba kujua mmiliki na ni yeye anamilikia pia tips na juliana
Majina yake?
Wamepuliziana Sumu nasikia kuna waliozimia na kufariki sijui kama ni story ya kweli lakinikuna unconfirmed story zinazunguka mitandaoni kuwa kuna purukushani zilitokea leo usiku.
Wamepuliziana Sumu nasikia kuna waliozimia na kufariki sijui kama ni story ya kweli lakini
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Yap jana Sunday.lini jana usiku ? kama kweli siend tena duuuh
Story za walevi tu kilichotokea ni jamaa kazinguana na demu wake akampulizia pepper spray sasa ushamba ukawapelekea kusema sumu, dhaa!! Safari ni ndefu bado.ume confirm hiyo ishue ? kuna kitoto kimoja kimeweka na status kabisa kinauliza kilichotokea seems like nae kasikia ila hajui nini kilitokea aisee noma sana
Story za walevi tu kilichotokea ni jamaa kazinguana na demu wake akampulizia pepper spray sasa ushamba ukawapelekea kusema sumu, dhaa!! Safari ni ndefu bado.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Story za walevi tu kilichotokea ni jamaa kazinguana na demu wake akampulizia pepper spray sasa ushamba ukawapelekea kusema sumu, dhaa!! Safari ni ndefu bado.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Aaah huyo jamaa wa mamtoni maana pepper spray wanazipenda riot police wa kwa Biden. Wabongo wakaita sumu kumbe pilipili tu[emoji23][emoji23]Story za walevi tu kilichotokea ni jamaa kazinguana na demu wake akampulizia pepper spray sasa ushamba ukawapelekea kusema sumu, dhaa!! Safari ni ndefu bado.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Mbalamwezi bado ipo?Place iko overrated kama vile ilikuwa Mbalamwezi...na place za hivyo tena zikikuwa beach ni full kujaza kuku wa kienyeji
Sina uhakika kama ingali ipoMbalamwezi bado ipo?