Nimepata accident mapema asubuhi ya leo

Nimepata accident mapema asubuhi ya leo

Nimepata ajali baada ya kumkwepa bodaboda nikakosa muelekeo nikagonga mti uliokuwa pemben ya barabara.
Mafundi naomben makisio ya gharama ya kutengeneza hii gari, Taa mbili za upande wa kulia (juu na chini)zote zimepasuka, air cleaner box limepasuka, bonet imebonyea na kioo cha mbele kimeweka crake. Gari ni Toyota crown Athlete.

View attachment 2122685

View attachment 2122686
mimi ndiye niliyekukwepa ...acha kutumia simu ukiwa unaendesha gari barabarani bloo
 
Nimeacha kutembelea hizi Gari "pamba" rasmi mwezi wa 12 last year baada ya boda kunigonga nilikua na harrier kwenye harakati za kumkatamata akafanikiwa kutokomea kusiko julikana.
Nimenunua Hilux double cabin nimeweka ngao nzito zenye mchanga ndani mbele na nyuma ..boda boda akiona anapisha mwenyewe Nina kisasi na boda boda .
 
Back
Top Bottom