Nimepata accident mapema asubuhi ya leo

Nimepata accident mapema asubuhi ya leo

Naona kama una ujinga flani kichwani mwako. ulishindwa nini kuandika NIMEPATA AJALI hadi ukaandika NIMEPATA ACCIDENT?
 
Bima zinazingua sana hazipo kumsaidia mteja hasa kwa hz crash ndogondogo bado hujaenda police kupata ile PF90 utaskia mtandao sijui hakuna lngo uwape rushwa bado afisa wa bima hajukupiga hela ili aprocess haraka.
Watu wa bima wanatia hasira sana basi tu
 
Bodaboda ni janga la kitaifa ...lazima kitu kifanyike. Ni kama wana utawala wao wenyewe vile.

Wanatia hasara kubwa, wanasababisha ulemavu na vifo holelaholela lakini hawafanywi kitu.
Wakikusababishia ajali ukisimama wanaitana wengi na kufanya vurugu.

Kuna askari tena ni wa usalama barabarani alikuwa analalamika jana bodaboda imepita na side mirror yake moja. Hii ina maana hata wanausalama wenyewe wamewashindwa.

Siku hizi watoto wote wasiopenda shule wana ndoto ya kuwa waendesha bodaboda. Hii inasikitisha sana.

Kuna baadhi ya waendesha bodaboda ni vibaka wanapora abiria na waenda kwa miguu

Ikiwezekana kuwe na mjadala wa kitaifa kuhusu hili swala. Pamoja na kuwa ni fursa ya ajira kwa vijana na pia zimerahisisha usafiri kwa baadhi ya watu...inawezekana hasara zake ni nyingi kuliko faida.
 
Wewe ni mpumbavu huna akili ,Mimi mwenyewe naendesha gari naendesha pikipiki,naheshimu kila mtu iwe waenda kwa miguu,gari au waendesha pikipiki.. ina maana wewe haujawahi kufanya mistake barabarani ? Magari mangapi yanaua watembea kwa miguu kwa uzembe wao!!! nakwambia iko kidude chako cha mkopo kisikupe jeuri pikipiki ninayoendesha bei yake ni mara 3 ya hiyo takataka yako..
Nisamehe popote nilipokukwaza na kukutamkia maneno mabaya.....
 
Bodaboda ni janga la kitaifa ...lazima kitu kifanyike. Ni kama wana utawala wao wenyewe vile.

Wanatia hasara kubwa, wanasababisha ulemavu na vifo holelaholela lakini hawafanywi kitu.
Wakikusababishia ajali ukisimama wanaitana wengi na kufanya vurugu.

Kuna askari tena ni wa usalama barabarani alikuwa analalamika jana bodaboda imepita na side mirror yake moja. Hii ina maana hata wanausalama wenyewe wamewashindwa.

Siku hizi watoto wote wasiopenda shule wana ndoto ya kuwa waendesha bodaboda. Hii inasikitisha sana.

Kuna baadhi ya waendesha bodaboda ni vibaka wanapora abiria na waenda kwa miguu

Ikiwezekana kuwe na mjadala wa kitaifa kuhusu hili swala. Pamoja na kuwa ni fursa ya ajira kwa vijana na pia zimerahisisha usafiri kwa baadhi ya watu...inawezekana hasara zake ni nyingi kuliko faida.
Ujio wa bodaboda ilikuwa ni ajira nzuri sana kwa vijana ambao hawakubahatika kupata ajira au kuendelea na masomo...

Changamoto ikawa vijana ambao ndiyo walengwa wakashindwa kuziheshimu hizo boda boda ikiwa ni pamoja na kuheshimu sheria za usalama barabarani..

Kutokuheshimu huko sheria, na kujichukulia sheria mkononi, kumefanya madereva wa magari kutokuwathamini waendesha pikipiki..

Kea mfano, ikitokea kwa bahati mbaya ukamgonga boda boda, wenzao hawakuachi salama,
Nina mfano hai...shemeji yangu, alikuwa anaendesha gari lake kurudi nyumbani usiku..bodaboda akawa anakuja upande wake huku akiovateki gari lingine, yule boda boda akajaa mbele ya gari... airbags zikafumuka...

Bahati nzuri yle boda boda hakufa, alivunjika mguu tu...hapo jirani kulikuwa na kijiwe cha boda boda, wakamchukua mwenzao na pikipiki yake, kisha wakashambulia ile gari kwa mawe ikaisha...na shemwji akapigwa kama mwizi..akapelekwa hosipitali na polisi waliokuwa wanapita doria....ile gari ilipondwa mawe kiasi cha kutokufaa tena...iliuzwa kama scraper.....

Na hii ndiyo maana madereva wengi wa magari hata ukikuta boda boda kapata ajali, unamwacha hapo...unaeeza kujidai unamsaidia, wakaja wenzake wakaanza kukushambulia...

Boda boda wanatakiwa kujitafakari saaana..
Ile ni ajira, tena inayolipa sana wangekuwa waaminifu, wafuata sheria, na usafi pia......maana unaweza kupakiwa na bodaboda utafikiri beberu..
 
Hakuna longolongo, lazima wahakikishe namna ajali ilivyotokea. Sio unalipwa hovyohovyo tu. Labda mtoto wako amebonda gari lako alafu unataka malipo. Achana na habari za waduanzi wapenda sifa.
Kazi yao ni kunicover hasara na uharibifu hayo maswala ya nani kaharibu ni outside the scope of our agreement. Otherwise waweke wazi terms za mkataba kuwa ni ajali gani na ajali gani za kucover na sio kubadilika na kuhamisha magoli dakika za mwisho.
 
Passo ni gari au kiberenge? Acha ujinga.
Hiki kijitu kina roho mbaya, wivu yaan hiki ni kichawi kabisa. Chenyewe kinamaisha magumu kwa sababu ya roho mbaya na uchawi. Wewe na Toyota waliounda hyo passo nani mjuzi zaidi?!! kila gari ilimeundwa kulingana na aina ya matumiz. Ata baiskeli hauna unadhalau passo wachawi mna matatizo sana😂😂
 
Nnayo mkuu nimewapigia simu na kuwatumia picha ila walichonieleza itanipasa nisubiri kwa mwezi mmoja mimi mipango yangu mingi inategemea niwe na gari nasafiri mara kwa mara.
Soma tena policy zao, bima inatakiwa ikugharamie usafiri kipindi chote wakati gari ipo garage. Maana ikiwa matengenezo inakua chini yao. Jitahid umalize paper work za polisi na za bima mapema na pelema garage za wachina.
Ukiwa na Bima kubwa hutakiwi kuweweseka, labda kama unaogopa paperwork.
Kila la kheri
 
Nakula nao sahani moja mkuu, taratibu za polis zote nishamaliza picha za tukio nimewatumia kwa wakati
Kama ndio hivyo, walime barua usiende kimdomo mdomo. Kwenye barua wa cc ssra. Sikumbuki muda unaotakiwa kusubiri mpaka malipo/matengenezo yawe tayari ila ni chini ya siku 60.
 
Hiki kijitu kina roho mbaya, wivu yaan hiki ni kichawi kabisa. Chenyewe kinamaisha magumu kwa sababu ya roho mbaya na uchawi. Wewe na Toyota waliounda hyo passo nani mjuzi zaidi?!! kila gari ilimeundwa kulingana na aina ya matumiz. Ata baiskeli hauna unadhalau passo wachawi mna matatizo sana😂😂
Roho mbaya ipo wapi? Passo nayo gari ya kuzungumzia? Acha ujinga. Wanaume wanamiliki madude na wapo kimya.
 
Roho mbaya ipo wapi? Passo nayo gari ya kuzungumzia? Acha ujinga. Wanaume wanamiliki madude na wapo kimya.
Wewe una miliki gari gani? shetani wewe umasikini wa kipato na fikra ndio unakusumbua unasema passo gari gani sasa hao waliodesign na kuliunda ww umewazidi akili?!! Tafuta pesa shwain wewe. Una ponda mali za watu ukiwa huna ata mkokoteni
 
Hiki kijitu kina roho mbaya, wivu yaan hiki ni kichawi kabisa. Chenyewe kinamaisha magumu kwa sababu ya roho mbaya na uchawi. Wewe na Toyota waliounda hyo passo nani mjuzi zaidi?!! kila gari ilimeundwa kulingana na aina ya matumiz. Ata baiskeli hauna unadhalau passo wachawi mna matatizo sana[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom