Nimepata agents wa kuniuanganisha na kazi nchini POLAND. Je ni nitapa au nitaliwa hela yangu tu Bure na kazi nisipate

Nimepata agents wa kuniuanganisha na kazi nchini POLAND. Je ni nitapa au nitaliwa hela yangu tu Bure na kazi nisipate

Mwanangikolo

Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
63
Reaction score
105
Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.

Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.

Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..

Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.

Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
 
Nimekutana na Vijana wengi kama wewe na akina dada pia Wamepigwa style tofauti tofauti..Wengine wanaambiwa Italy...Canada tena wewe unapigwa Euro 1500 kuna mtu kapigwa Pauni elf 6000 kauza vitu kibao ili akafanye kazi Canada ya Manzese!! Can you imagine mtu alikua na biashara yake na Nyumba Goba akauza eti aende Canada akalipwe dola 1000 kwa week...Kwanza mfumo wa ajira wa hizo nchi unalipwa kwa masaa ila unapigishwa kazi sio mchezo...... HAO NI MAJIZI MATAPELI kuweni Makini hakuna maisha rahisi..
 
Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.

Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.

Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..

Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.

Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Hayo mambo huwa ni 50/50 kama ni pesa ya kudunduliza mkuu endelea na shamba tu usije kulia.
 
Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.

Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.

Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..

Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.

Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Poland kama unahitaji mambo ya military pia kuwa makini usije kupelekwa Brazil ukalime cacao
 
Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.

Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.

Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..

Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.

Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Kuwa makini usiende kuibwa, sio kuibiwa la bali kuibwa mazima. Figo zinatafutwa sana Ulaya.
 
ulizia around kwanza sifa huyo agent historia yakeipoje na kama amesajiliwaa....ukishajiridhishausimpe hela yote, hadi euelewe process yote ipojee...ila usikuwe muoga, mimi niliigia uku mambelee thro romania , poland baadae uk ukuu...tupo na chima kama chima chimakekeee..
 
Hapo unapugwa kwa fact moja kubwa÷ kwamba Nchi yoyote ya ulaya au America ni ngumu kuleta mtu kama wewe ambaye ni General labour tu kupitia udhamini wa kampuni ungesema wewe ni expact wa kitu fulani mfano kutengeneza missiles au drones ningeamini ,ila huna elimu wala utaalamu wowote unategemea Nguvu huo ni uwongo, General Labour wapo kibao huko kigezo ni Nguvu zako tu.
 
Back
Top Bottom