Hapana Hawa nimefika ofisin kwao kabisa maeneo ya magomenUsishangae kukuta ni mimbwa ya kihindi au kinigeria inayotapeli mitandaoni.
Ntajua vp kama amesajiliwa mkuu..? Kazi aliyoniambia ni kwenye kiwanda Cha nyama na mshahara ni Euro 1300 kwa mwezkama amesajiliwa freshiii apoo....njoo uku majuuu, mayolo yaani mambele tubebe boksi mkuu...uskuwe muogaa kama wengiii apo nchinii wamebaki kumlilia mama apo kitaa.,
Sawa mkuu ntafanya hivo ..kazi aliyoniambia ni kwenye kiwanda Cha nyama na ujira ni Euro 1300 kwa mwez chakula na kulala ni juu ya muajiriulizia around kwanza sifa huyo agent historia yakeipoje na kama amesajiliwaa....ukishajiridhishausimpe hela yote, hadi euelewe process yote ipojee...ila usikuwe muoga, mimi niliigia uku mambelee thro romania , poland baadae uk ukuu...tupo na chima kama chima chimakekeee..
1.yupo magomeni mapipaUtaliwa pesa zako.
1. Agent yupo wapi?
2. Kama yupo Tanzania amesajiliwa?
3. Amekuambia utoe gharama kiasi gani?
4. Kakuelekeza ukachukue medical report kutoka hospital gani?
Jibu hayo Kwanza, hayo ndio yatatoa muelekeo unapigwa au laa
Kwanini asikuunganishe ukipata ndio umlipe?Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.
Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.
Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..
Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.
Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Bado hilo si hakikisho hasa ikizingatiwa kuwa Poland ni apeche alolo. Ni sawa na mtu kukuahidi kazi India au Nigeria hata Kenya wakati wote wanakimbilia Bongolala shamba la bibi.Hapana Hawa nimefika ofisin kwao kabisa maeneo ya magomen
1.yupo magomeni mapipa
2.sijajua kama kasajiliwa!! Na je tatambua vp kama kasajiliwa?
3. Jumla ni Euro 1000 kuniunganisha na mwajiri na kupata visa pamoja na work permit na tiketi pia kwahyo jumla Euro 1500
4.kaniambia hyo ntafanya me mwenyewe kupitia hosp atakayonielekeza
Nenda ubalozi wa Poland kwanza ukapate majibu sahihi ya haya maswali uliyo orodhesha ambayo ni ya msingi. Ubalozi upo Masaki mtaa wa Mtwara.....1.yupo magomeni mapipa
2.sijajua kama kasajiliwa!! Na je tatambua vp kama kasajiliwa?
3. Jumla ni Euro 1000 kuniunganisha na mwajiri na kupata visa pamoja na work permit na tiketi pia kwahyo jumla Euro 1500
4.kaniambia hyo ntafanya me mwenyewe kupitia hosp atakayonielekeza
Yaani unavyosimulia utafikiri kweli kuna agent, na pia kuna Poland! Kumbe vyote hivyo ni wizi tu. Na hata ingetoke kuwa kweli; basi ungepelekwa Ukraine kupigana vita na Urusi.Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.
Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.
Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..
Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.
Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Awekeze kwenye hatifungani za CRDB, Infrastructure bond ya 12% kwa mwaka kwa miaka mitano sihaba.Mwanangu unapigwa
Magomeni hapo ni uhuni mtupu.
Hiyo hela fanya mtaji ila kwa kazi utapigwa nakuapia