kijana wangu kimbia haraka unaenda kutapeliwa. tena eti agent ofisi magomeni? kwa matapeli wakiokubuhu, na wapo wengi wamefungua tuoffice wanajifanya agent wa kazi za nnje kutapeli vijana, na tutawashulikia very soon kisheriaMe ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.
Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.
Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..
Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.
Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Hiyo Ukraine inakuhusu. Jiandae kisaikolojia kupitia mafunzo ya muda mfupi ya KIJESHI huko Poland then unaenda Mistari wa Mbele wa Vita huko Ukraine Kwa kivuli Cha wapiganaji wa kujitolea kuitetea Ukraine.Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.
Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.
Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..
Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.
Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.
Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.
Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..
Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.
Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Ngoja tumwite Kiranga mimi hupenda kumwita kiunganishia kutokana na utamaduni wake wa kuunganisha watu kwenda USA.Niunganisheni na Mimi mzabzab secretarybird ....... Nitoke bongo dasalama
ili akufate inbox umtapeli wewe? acheni utapeli vijana[emoji34]Mkuu wasikukatishe tamaa haya mambo yapo na nimeshuhudia kwa watu wangu wa karibu. Jambo la kuzingatia hakikisha uyo agent amesajiliwa na ana ofisi, kuna mmoja town namjua kanyooka balaa na watu wanasafiri nnchi za ulaya. All the best.
Wanauzi huyu ndo agent mwenyewe sasa wa Magomeni kaamua kujitokeza bila shurti πMkuu wasikukatishe tamaa haya mambo yapo na nimeshuhudia kwa watu wangu wa karibu. Jambo la kuzingatia hakikisha uyo agent amesajiliwa na ana ofisi, kuna mmoja town namjua kanyooka balaa na watu wanasafiri nnchi za ulaya. All the best.
Nakushauli Norway, Denmark au inchi za Scandinavian. Wanamishahala mizuri ukiludi nyumbani unafanya jambo lako kubwa, mimi nipo kwenye michakato ya kwenda Denmark. Ila kuhusu utapeli au la sijajuaa inategemeaa na agent wako na kama mtu aliyekuconnect unamwamini basi ondoa shakaMe ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland.
Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na kufika ofisini kwake maeneo ya Magomeni na kunipa utaratibu namna ulivyo na kiujumla gharama zote kuanzia kuunganishwa na mwajiri ni Euro 500, Visa ya kazi na kusafiri Euro 500 na tiketi ya ndege Euro 500 na pia akawa amedai kwamba process zote hizo mpaka kuondoka kwenda kuanza kazi inachukua wastani wa miez 3.
Sasa je ni kweli wakuu aya mambo yapo na yanawezekana? Mana sijawahi experience hili swala na ukizingatia nna kama kamilion 5 tu hv ndo nmekakusanya baada ya kuvuna mahindi yangu..
Naombeni ushauri wenu kama nijue naendelea na mchakato au lah.
Ahsanteni nawakilisha.
#ni yeye lissu
Hatupo hapa kumtisha mtu,Ata kalynda alikuwa na ofisi,kasajiliwa na baadhi ya watu walivuta mpinga ......ila tulipiga sana kelele juu ya hizo scheme za hela unafahamu yaliwakuta watu kadhaa.....Mkuu wasikukatishe tamaa haya mambo yapo na nimeshuhudia kwa watu wangu wa karibu. Jambo la kuzingatia hakikisha uyo agent amesajiliwa na ana ofisi, kuna mmoja town namjua kanyooka balaa na watu wanasafiri nnchi za ulaya. All the best.