Nimepata ajira ambayo PAYE yake ni zaidi ya mshahara wa serikali nilioenda kufanyia interview Dodoma

Nimepata ajira ambayo PAYE yake ni zaidi ya mshahara wa serikali nilioenda kufanyia interview Dodoma

Uponyaji na uzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
666
Reaction score
1,255
Mwaka jana mwezi September nilienda usahili pale utumishi Dodoma na niliweka mrejesho hapa. Usaili wa utumishi (kwenye interview ya mchujo) unawalenga wanafunzi na wahitimu wapya

Kimsingi mimi kama expert (niko internationally certified) sikupenda aina ile ya interview kuulizwa masuala ya darasani. Niliachana na mpango wa kuomba ajira za serikali na kujikita kwenye makampuni na NGOs.

Nikaomba fursa nyingi sana hatimaye mojawapo nimeipata. Mshahara wa serikali ulikuwa around milioni moja na laki saba na kazi niliyopata nalipa PAYE ya shilingi milioni moja na laki tisa kwa mwezi.

Nashauri serikali ibadili mfumo wa kupata wataalamu wake maana wengi mnawakosa kwa hiyo mitihani yenu. Utaalamu wangu huu sasa unaenda kuijenga NGO.
 
Mwaka jana mwezi September nilienda usahili pale utumishi Dodoma na niliweka mrejesho hapa. Usaili wa utumishi (kwenye interview ya mchujo) unawalenga wanafunzi na wahitimu wapya

Kimsingi mimi kama expert (niko internationally certified) sikupenda aina ile ya interview kuulizwa masuala ya darasani. Niliachana na mpango wa kuomba ajira za serikali na kujikita kwenye makampuni na NGOs.

Nikaomba fursa nyingi sana hatimaye mojawapo nimeipata. Mshahara wa serikali ulikuwa around milioni moja na laki saba na kazi niliyopata nalipa PAYE ya shilingi milioni moja na laki tisa kwa mwezi.

Nashauri serikali ibadili mfumo wa kupata wataalamu wake maana wengi mnawakosa kwa hiyo mitihani yenu. Utaalamu wangu huu sasa unaenda kuijenga NGO.
Aisee japo katika industry hii..na kweli elimu yangu inashabihiana na NGO's kibao
Siku nikipata nafasi huko serikalin wanisahau tu maana naona wana mambo mengi kuwapata waajiriwa
 
Mwaka jana mwezi September nilienda usahili pale utumishi Dodoma na niliweka mrejesho hapa. Usaili wa utumishi (kwenye interview ya mchujo) unawalenga wanafunzi na wahitimu wapya

Kimsingi mimi kama expert (niko internationally certified) sikupenda aina ile ya interview kuulizwa masuala ya darasani. Niliachana na mpango wa kuomba ajira za serikali na kujikita kwenye makampuni na NGOs.

Nikaomba fursa nyingi sana hatimaye mojawapo nimeipata. Mshahara wa serikali ulikuwa around milioni moja na laki saba na kazi niliyopata nalipa PAYE ya shilingi milioni moja na laki tisa kwa mwezi.

Nashauri serikali ibadili mfumo wa kupata wataalamu wake maana wengi mnawakosa kwa hiyo mitihani yenu. Utaalamu wangu huu sasa unaenda kuijenga NGO.
Wapi huko tuje
 
Mwaka jana mwezi September nilienda usahili pale utumishi Dodoma na niliweka mrejesho hapa. Usaili wa utumishi (kwenye interview ya mchujo) unawalenga wanafunzi na wahitimu wapya

Kimsingi mimi kama expert (niko internationally certified) sikupenda aina ile ya interview kuulizwa masuala ya darasani. Niliachana na mpango wa kuomba ajira za serikali na kujikita kwenye makampuni na NGOs.

Nikaomba fursa nyingi sana hatimaye mojawapo nimeipata. Mshahara wa serikali ulikuwa around milioni moja na laki saba na kazi niliyopata nalipa PAYE ya shilingi milioni moja na laki tisa kwa mwezi.

Nashauri serikali ibadili mfumo wa kupata wataalamu wake maana wengi mnawakosa kwa hiyo mitihani yenu. Utaalamu wangu huu sasa unaenda kuijenga NGO.
Hufai kuajiriwa kwa tambo hizo
 
Wazee wa kuiba mitihani na kula chabo hamtaki maswali ya darasani kwani ni lazima kila kitu tuwaige wazungu sasa kama hutaki maswali ya darasani unataka maswali gani kiongozi.
Nilitaka kufanya kazi za serikali baada ya kufanya private kwa miaka kadhaa halafu wao wanaleta madesa tuliyosoma miaka mingi iliyopita.

Standard ya interview ya kimataifa itakupa watu wa kimataifa.
 
Kaka mtaani kugumu tupe hizo connection za kazi
Hii nafasi niliona imetangazwa LinkedIn na nikaomba bila kumfahamu wala kumtafuta yeyote anayefanya kazi pale.

Bahati nzuri ni zile NGO ambazo zipo fair na wanaajiri atakayekuwa the best. Nimeipata out of more than 200 people that applied.

So ninakushauri follow taasisi, makampuni na mashirika mbalimbali huku ukiendelea kutuma maombi bila kuchoka.
 
Mwaka jana mwezi September nilienda usahili pale utumishi Dodoma na niliweka mrejesho hapa. Usaili wa utumishi (kwenye interview ya mchujo) unawalenga wanafunzi na wahitimu wapya

Kimsingi mimi kama expert (niko internationally certified) sikupenda aina ile ya interview kuulizwa masuala ya darasani. Niliachana na mpango wa kuomba ajira za serikali na kujikita kwenye makampuni na NGOs.

Nikaomba fursa nyingi sana hatimaye mojawapo nimeipata. Mshahara wa serikali ulikuwa around milioni moja na laki saba na kazi niliyopata nalipa PAYE ya shilingi milioni moja na laki tisa kwa mwezi.

Nashauri serikali ibadili mfumo wa kupata wataalamu wake maana wengi mnawakosa kwa hiyo mitihani yenu. Utaalamu wangu huu sasa unaenda kuijenga NGO.
Hongera sana chief..
 
Aise wewe ni HR sehemu?[emoji23]
Unanipa mashaka sana,kama huelewe hata mshahara wako kiasi gani,kama paye ni 1,900,000 inamaana mshahara kabla ya paye ni 6,907000 iviiii na ukitoa paye unapata 5,007,000 sasa jamaa hapo kakupoteza na wewe umeingia King...sawa banaa hii ndo Jf kila mmoja anakazi nzuri na anapesa...
 
Back
Top Bottom