Nimepata ajira ambayo PAYE yake ni zaidi ya mshahara wa serikali nilioenda kufanyia interview Dodoma

Nimepata ajira ambayo PAYE yake ni zaidi ya mshahara wa serikali nilioenda kufanyia interview Dodoma

Unanipa mashaka sana,kama huelewe hata mshahara wako kiasi gani,kama paye ni 1,900,000 inamaana mshahara kabla ya paye ni 6,907000 iviiii na ukitoa paye unapata 5,007,000 sasa jamaa hapo kakupoteza na wewe umeingia King...sawa banaa hii ndo Jf kila mmoja anakazi nzuri na anapesa...
Ana takiwa kujua PAYE ina asilimia, hivyo ukitaja hizo pesa zinazo katwa kama PAYE basi kinacho fata ni zile hesabu pendwa za maksi za bure
 
Kwenye komenti yangu ni wapi nimemkubalia au kumpinga? Huoni hapo nimeweka imoji ya kucheka na kuuliza?

Anyway, arguing here wouldn't make any difference, yesterday 5m entered my account and that's what matters.
Bro chutama,kimsingi umekuja sehemu sahihi JF kila mmoja tajiri,hapa kunawatu wameanza kuja pm kuomba mashavu au ushauri kumbe ulikuwa unafurahisha genge
 
Bro chutama,kimsingi umekuja sehemu sahihi JF kila mmoja tajiri,hapa kunawatu wameanza kuja pm kuomba mashavu au ushauri kumbe ulikuwa unafurahisha genge
Kuna watu mpo so negative kwenye maisha yenu na sidhani kama mtaweza ku-attract great results. Let me leave you man.
 
Ndo wewe ulikosa kazi pale tra? Tra kuna mtu kapata kazi pale na ninamjua uwezo wake mdogo,sasa sijui kapata vipi.Maana kuna watu ambao wako vizuri sana kwenye hiyo kada aliyopata wanafanya project za maana sana ambazo kwa serikali ingewasaidia sana ila ndo hivyo
 
Ulitaka kutueleza kuhusu PAYE yako au kuishauri serikali juu ya mfumo wa usahili
Hata mie nimeona Kuna ka EGo kapo kazini kwake nikaachana naye.
We're always talking our fears,greed,ego,revenge,hope,euphoria,stress. Emotions have us and nothing else
 
Back
Top Bottom