Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Ana takiwa kujua PAYE ina asilimia, hivyo ukitaja hizo pesa zinazo katwa kama PAYE basi kinacho fata ni zile hesabu pendwa za maksi za bureUnanipa mashaka sana,kama huelewe hata mshahara wako kiasi gani,kama paye ni 1,900,000 inamaana mshahara kabla ya paye ni 6,907000 iviiii na ukitoa paye unapata 5,007,000 sasa jamaa hapo kakupoteza na wewe umeingia King...sawa banaa hii ndo Jf kila mmoja anakazi nzuri na anapesa...