Umesahau ana gari na ana biashara nzuriUnanipa mashaka sana,kama huelewe hata mshahara wako kiasi gani,kama paye ni 1,900,000 inamaana mshahara kabla ya paye ni 6,907000 iviiii na ukitoa paye unapata 5,007,000 sasa jamaa hapo kakupoteza na wewe umeingia King...sawa banaa hii ndo Jf kila mmoja anakazi nzuri na anapesa...
HahahaUnanipa mashaka sana,kama huelewe hata mshahara wako kiasi gani,kama paye ni 1,900,000 inamaana mshahara kabla ya paye ni 6,907000 iviiii na ukitoa paye unapata 5,007,000 sasa jamaa hapo kakupoteza na wewe umeingia King...sawa banaa hii ndo Jf kila mmoja anakazi nzuri na anapesa...
Mkuu una masters? Uko kwenye kada ipi?Nilitaka kufanya kazi za serikali baada ya kufanya private kwa miaka kadhaa halafu wao wanaleta madesa tuliyosoma miaka mingi iliyopita.
Standard ya interview ya kimataifa itakupa watu wa kimataifa.
Kwenye komenti yangu ni wapi nimemkubalia au kumpinga? Huoni hapo nimeweka imoji ya kucheka na kuuliza?Unanipa mashaka sana,kama huelewe hata mshahara wako kiasi gani,kama paye ni 1,900,000 inamaana mshahara kabla ya paye ni 6,907000 iviiii na ukitoa paye unapata 5,007,000 sasa jamaa hapo kakupoteza na wewe umeingia King...sawa banaa hii ndo Jf kila mmoja anakazi nzuri na anapesa...
Mambo ya kuwa kada ipi ni huko serikalini, huku private wanaangalia output tu. Moja kati ya directors kwenye hii NGO alisoma masuala ya dini lakini is the best kwenye fundraising.Mkuu una masters? Uko kwenye kada ipi?
Kwamba ni uongo?!Bro unakusanya kama 6.2m.
Hata katb mkuu hakugusi.
Si uombe, we unafikiri watu wanaitwa itwa tu 😁 😁 😁 😁Wapi huko tuje
Nisahihi mkuu,Mwaka jana mwezi September nilienda usahili pale utumishi Dodoma na niliweka mrejesho hapa. Usaili wa utumishi (kwenye interview ya mchujo) unawalenga wanafunzi na wahitimu wapya
Kimsingi mimi kama expert (niko internationally certified) sikupenda aina ile ya interview kuulizwa masuala ya darasani. Niliachana na mpango wa kuomba ajira za serikali na kujikita kwenye makampuni na NGOs.
Nikaomba fursa nyingi sana hatimaye mojawapo nimeipata. Mshahara wa serikali ulikuwa around milioni moja na laki saba na kazi niliyopata nalipa PAYE ya shilingi milioni moja na laki tisa kwa mwezi.
Nashauri serikali ibadili mfumo wa kupata wataalamu wake maana wengi mnawakosa kwa hiyo mitihani yenu. Utaalamu wangu huu sasa unaenda kuijenga NGO.
Inategemea na idaraBro unakusanya kama 6.2m.
Hata katb mkuu hakugusi.
Sawa mkuu,pamoja sana endelea kujenga NGOMambo ya kuwa kada ipi ni huko serikalini, huku private wanaangalia output tu. Moja kati ya directors kwenye hii NGO alisoma masuala ya dini lakini is the best kwenye fundraising.
So kujibu maswali yako, sina masters na original area niliyosomea ni uhandisi kwenye IT lakini nina certificates mbalimbali zinazotambulika kimataifa.
Nasikia huko NGOs fresh graduate kupata shavu ni ngumu sana. Kitu cha kwanza kabisa Wanaangalia experience basi.Mambo ya kuwa kada ipi ni huko serikalini, huku private wanaangalia output tu. Moja kati ya directors kwenye hii NGO alisoma masuala ya dini lakini is the best kwenye fundraising.
So kujibu maswali yako, sina masters na original area niliyosomea ni uhandisi kwenye IT lakini nina certificates mbalimbali zinazotambulika kimataifa.
Nipe link ya Linkedln ya hiyo kampuni niifollow, then nitafukua madesa hadi nikupate na wewe huko huko[emoji3][emoji3].Hii nafasi niliona imetangazwa LinkedIn na nikaomba bila kumfahamu wala kumtafuta yeyote anayefanya kazi pale.
Bahati nzuri ni zile NGO ambazo zipo fair na wanaajiri atakayekuwa the best. Nimeipata out of more than 200 people that applied.
So ninakushauri follow taasisi, makampuni na mashirika mbalimbali huku ukiendelea kutuma maombi bila kuchoka.
Mkuu share ezperience na uzoefu wako ni certificatuo gan i kwa upande wa IT uko kwenye NGO wanazikubali sana,bilashaka mtu wa It huko una deal na Data sanaKwenye komenti yangu ni wapi nimemkubalia au kumpinga? Huoni hapo nimeweka imoji ya kucheka na kuuliza?
Anyway, arguing here wouldn't make any difference, yesterday 5m entered my account and that's what matters.
Basi baba imetosha. Nakuja basi unikopeshe laki 5 jembe langu niishi kidogo mwanetu.Kwenye komenti yangu ni wapi nimemkubalia au kumpinga? Huoni hapo nimeweka imoji ya kucheka na kuuliza?
Anyway, arguing here wouldn't make any difference, yesterday 5m entered my account and that's what matters.
Acheni watu walete mrejesho. Unasaidia kuwapa moyo wengine kuendelea kupambana.Umesahau ana gari na ana biashara nzuri