Nimepata au nimepatikana?

Simple tu,
Embu mwambie Sasa badilishaneni matumizi, yake yawe yako. Na yako yawe yake, ila usijenge kwenye kiwanja chake, Anza na chako fresh.
 
Hivi yale majukumu pale Eden hukuyaelewa vizuri eeh, mliambiwa wanaume mtakula kwa jasho na sisi tutazaa kwa uchungu, so baba pambana ya hela yote timizia mahitaji ya familia yako, pesa ya mwanamke usiipigie hesabu sana maana mtaanza kupangiana hata zamu ya kuosha vyombo na deki sasa. Kama ulioa sababu ya pesa zake , badili mtazamo pambana.
 
Umesoma proverbs 31??kama unataka tutumie bible
 
Ndo maana Sioni ulazima wa kuoa napambana na maisha yangu mwenyewe
 
Kuna jamaa mmoja namfahamu

Yeye kadi ya benki ya mkewe anayo yeye na wote ni watumishi wa serikali

Yaani mshahara ukiingia tu dada wawatu anaona meseji tu ila mshahara hauoni hawezi chukua hadi akaombe kwa jamaa[emoji1787][emoji1787]

Daaah ndoa hizi
 
Mwanamke anayempenda mume wake lazima atamuonea huruma mume wake. Mwanamke mbinafsi anahatarisha ndoa ya familia. Na maisha haya ya watumishi halafu majukumu yote anamuachia mume wake it's unfair ndio maana huwa nijifikirie pamoja na elimu yangu hii ya MSc naogopa kuoa Mwanamke mwenye kazi
 
Kwanini wasiweke mshahara Kati wakaupangia matumizi Kwa pamoja. Na huu ni ukatili mwingine
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wana mchango wa kukupa stress tu
 
Mi binafsi njia nayoona ya kummiliki mwanamke ni kumfanya toothless! Binafsi hata kitu akinunua mke nitapenda nikifanye cha familia. Ile hali ya kumpa wadhifa kuwa ni chake per se sintohitaji iwe hivyo. Najua namna ya ku go about it very gently ili isilete mtafaruku. Mke akileta ubishi kwenye hilo najua kabisa sina mke.

Kama ni shamba nitaandika jina la mtoto. Kama ni kiwanja ntafanya the same. Provided sinto mdhulumu wala sina mpango huo ila nataka tu kumuondoa kwenye kile kiburi kuwa anamiliki vitu nje ya vya familia.
 
Ila cha ajabu jamaa ndio atadumu vizuri na mkewe kuliko hawa mapoyoyo ambao wana access na hela full time! Mwanamke anaweza fanya maamuzi ya ajabu kama atakosa monitoring and control ya mume.

Unampa nafasi intruder aanze kumtongoza mkeo na kupata anachotaka kupitia kipato chake.
 
Asilimia kubwa hapa mnamshambulia Jamaa, ila kiuhalisia ndoa ni kusaidiana...hakuna cha pesa ya mke wala ya mume as long as anafanya biashara au kazi ni wajibu wake kumpiga tafu mme wake kimaisha. Tena ukikuta mke mwema anaweka hela yote mezani ipangiwe matumizi.
 
Swali langu ni moja tu.

Hivyo vitu anavyofanya mkeo, hua mnakaa mnakubaliana kwamba sasa tufanye hivi au ni yeye anaamua kufanya bila kukushirikisha?

Nijuavyo mimi, mke wa ndoa mnatakiwa mkae chini mpange kwamba sasa tunanunua kiwanja (hata kama pesa atatoa yeye), sasa tujenge, tununue gari n.k. Kama hamfanyi hivyo, ipo shida.
 
Mchagua Nazi Huchagua Koroma, Kazi Unayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…