#COVID19 Nimepata chanjo ya COVID-19

MAGOFOOL ALIWAJAZA UJINGA SANA WATANZANIA ETI CHANJO ZIPO KWENYE MAJARIBIO.

MAJARIBIO YALISHAFANYIKA ACHENI UPUMBAVU. HIZI CHANJO NI SALAMA. HIZO SIDE EFFECTS ZA WATU WACHACHE ZISIHALALISHE UJINGA WENU.
 
Hongera sana Mkuu kwa kujali afya yako na afya za wengine pia.
 
We ni litahila Sana Mimi nimechoma second dosage mbona sjayaona hayo uyaongeauo ? Ama nikuoneshe card yangu acheni kutia watu mavi yenu mnayo fikilia
 
[emoji90] hujawahi kusafiri kuvuka mipaka ya bara la Giza endelea kuwa gizani
 
Hili waliliibua juzi baada ya watu kuhoji,
Kwann unapata corona hata kama umechanja?
Kwann unavaa mask?
Kwann una keep distance?

Lakini ukwl upo pale pale.

Ukipata chanjo bado haupo salama.
Huna akili timamu mbona mahospital tuna vaa PPE ?
 
We ni litahila Sana Mimi nimechoma second dosage mbona sjayaona hayo uyaongeauo ? Ama nikuoneshe card yangu acheni kutia watu mavi yenu mnayo fikilia
Tatizo hamsemi ukweli mliokwisha chanja..
Vibweka vya matokeo ya chanjo ni Vingi.

Pengine hapo ulipo mkono upo shavuni kwa majuto.

Ukija hapa una dalalia chanjo.
 
Tupo bize na LUKU wewe unaleta habari za Chanjo
 
Bro nifanyeje ili niweze kufika njee ya nchi pls tusaidie na wengine,Tupe mwanga
 
[emoji90] hujawahi kusafiri kuvuka mipaka ya bara la Giza endelea kuwa gizani
Nambie ni inchi gani ukirudi unapimwa corona?
Hayo mambo yameshayatoa muda mrefu sn.

Na huna unachojuwa kuhusu safari za nje,,

Kaa kimya..
 
Ukhanithi unakunyemelea, maana wataalamu wanasema.inaweza kusbabisha ugumba na ukhanithi. Hongera anyway
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…