SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,892
- 3,112
Nimeokota katoyota vitz namba B Injini na body ni nzma hadi nimeshangaa jamaa sijui alikuwa anaitunzaje still nawashauri.unaponunua gari usikimbilie.namba kagua ubora wa injini na body kuna gari namba D zimechoka vibaya na kuna na c na b ni nzma kutokana na matunzo uchaguzi ni wako