Nimepata huduma mbovu kutoka kwa Mfanyakazi wa NHIF - Dar, imebidi Kiongozi wake wa juu aingilie na kuniomba radhi

Usijali, siku nikiwa Rais taasisi za umma watalipwa mshahara kulingana na mapato ya taasisi husika isipokuwa TRA!
Hakuna kundi la Watu wajinga kama watumishi WA serikali, ndio maana yakistaafu wanakufa mapema.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, Lod have Mess πŸ˜ƒ
 
Nilipoteza kadi ya NHI na kupeleka ripiti ya polisi ili nipewe nyingine. Waliniambia niwe natumia kadi ya NIDA kwa vile nilikwishawapa wakaisajili kwao. Je huu ndio utaratibu? Kuna sehemu wanahitaji waone kadi
Hii ni kama kesi yangu, sikupewa kadi ya bima niliambiwa nitumie Namba kutibiwa
 
Mkuu umesahau vyeti feki vilivowahi kuleta taharuki hapa nchini??
Hawa ndo watu wenyewe,wamepeana kazi kiccm ccm.,
 
Yani hizo ofisi za serikali ni uozo mtupu, watu wapo ili wapate mshahara mwisho wa mwezi basi ila wengi wao hawatimizi majukumu yao ipasavyo ni wachache sana ambao hutimiza majukumu yao, yani mtu ni jukumu lake kumhudumia mteja ila anaona kama anakusadia vile.
 
H
Kama

Nadhani walikwa k

Wasamehe bure, taasisi yao imepata hasara nyingi kwa kutohakiki kadi zao. kuna watu wengine mpaka walikuwa wanaaziamana kadi za matibabu.
Heee mi Sasa loss yao na huduma mbaya kwangu inahusiana Nini😟😟
 
Serikali isiyojali ufanisi huwa haina ufuatiliaji wa ubora wa huduma zake kwa wateja.

Pole mkuu
 
Kiujumla, almost ofisi zote za serikali wapo hivyo..!! Ndo maana kwa jambo lile lile, private sector inafanya vizuri kuliko huko serikalini.
 
Kuna vidada viko NHIF pale posta karbu na KFC mkabala na Ifm Aisee Kuna vidada vipo reception vinajickia sana Yani wanakuona kama umekuja kuuza sura Kuna mmoja mweusi mwembamba hivi anakaa upande wa kulia hapo reception kama anasoma hapa ajue namchukia sana na komwe lake ila Kuna jamaa mfupi kidgo nampa big up anakuelewesha vizuri mbaka unafurahia ila hiyo midada ya hapo πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Enzi za Jpm hayo mambo yalipungua sana siku hizi customer care kwenye taasisi za umma ni mbovu sana, au nasema uongo ndugu zangu
 
Hao hutakiwi kuwakawiza
Ulitakiwa uwape makavu shz tup

Ova
 
Pole sana. Huduma kwa Wateja kwa mashirika ) taasisi za Umma ni mbovu kwa asilimia kubwa. Ndio manaa wengi wanapendekeza ajira kwa mkataba badala ya permanent & pensionable. Huenda kdg watanyooka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…