Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Michepuko hupunguza stress?
Ndiyo ...
exactly yes my lovely hubby... si nianze kufanya mazoezi ya kutembea ukumbini kabisa nisije kutia aibuuu wakuja mimiii...! teh teh
Miss chaga acha kutunywesha matango pori.au tupe mechanism labda kweli
Duuu hili jukwaa halina limepoteza uhalisia wake kabisa
Anyway let's enjoy
Mbona unaigiza? Kwani wkt ule ulipokuwa una fanya mazoezi alikuwa nani vile!! Afu mbona anasema bado anamega mzigo au...?
God is great kwakweli! As I searched for mume mume, I thank his aboundant blessings over me. He gave me a gently and wonderful man ever met before. We are in the early stage of malovee but i'm certainly sure that he's loving and caring one.
Naahidi kukupenda na kujipenda katika hali yoyote na wakati wowote na kuishi nawe kwa amani bila ugomvi. Its the way you teach me, warn me n definitely got along with me,! I love you darling.! You really make my heart bampbamp. Nakupenda sana mkulima wangu
FINIR....
Very disappointed..nlikutongozaga zaman nashangaa u had to wait mpaka upost thread kweli?? Ulisahau kupitia old PM tu unishtue...
ndo nlikua nataka kukupa mrejesho privately lakin siunajua watu wanatalk n talk n talk n taaaalk.......
Kwa nini unasema hivyo?
kiaje... kutoa mrejesho ni vibaya??? nilichokosea hapo kweny uzi ni kipi????
An African woman's brain bhana....Dah we love you anyway!umeambiwa wahumu ni wapagan ama.!!??... ndio nyie nyie kina shetani na mamamkwe zakeee wanaliaaa...