Nimepata jamani nimepata

naomba niwaulize bwana na bibi harusi, mna umri gani?
 
usikate tamaa jamn best mungu yu pamoja nawe najua amekuandalia kitu hatareeeeee.. ulikua wapi weye au ndio majeraha??? anyaway nani iko tenda veve rafiki ya mimi jaman??? Nani????
mahondaw !
 
Last edited by a moderator:
Ukiweza waombe mods waifunge hii thread na ile nyingine ili usiendelee kupata pms na pia huku nako watu wasiendelee kuleta utani na dhihaka kwenye jambo halisi
BTW wengine huna haja ya kuwajibu
 
teh where were u excel????? I searched uuu but where...!
dah.. kumbe ulikuwa unasaka eenh? dadeki, ningejuaaaaa!!! nakwambia ningejua, ningekuja kufanya field mkoani kwako makusudi tu! lol...

chap chap sana njoo pm nikupe zaidi!... dare for more! lol..
 
JF kama Egoli vile...


Nitakupenda daima na wanajukwaa hili watakuwa shahidi,we are together as one,love much much more

Thanks alot sweetdarlingto..hope together we can...me n u forever moooooo!! usichepuke sasa jaman mkeo si nakutosha kabisaa..ebu cheki toto la ki.......

Umekamilika honey no one like u
 
dah.. kumbe ulikuwa unasaka eenh? dadeki, ningejuaaaaa!!! nakwambia ningejua, ningekuja kufanya field mkoani kwako makusudi tu! lol...

chap chap sana njoo pm nikupe zaidi!... dare for more! lol..

akhaaa nshapata mieeee na nshafika mwisho wa reli...
 
Ukiweza waombe mods waifunge hii thread na ile nyingine ili usiendelee kupata pms na pia huku nako watu wasiendelee kuleta utani na dhihaka kwenye jambo halisi
BTW wengine huna haja ya kuwajibu

ok I wil do as u said..but wengine wanajifurahisha tu in real sense comments zao hazina effect... nashukuru mungu by bebito ni muelewa sana..
 
Hawajaja dot.com aka wazee Wa Isidingo Ze nidi au Ze puromisi hehehehe

walipanga usioleweee hao wanadamu weeeeee ila wema wa mungu umekuzungukaa...umenizunguka wemaa umenizungukaa...zungukaa zungukaa... teh kazi unayooo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…