Nimepata jamani nimepata

Kwa hizi early stages make it extremely personal trust me si kila mtu analifurahia hili....!!!both sexes

kweli kabisa asee watu hata hatujuani humu but hekaheka kweliii...all in all they cant change the fact no matter what... let them keep on talking.....
 
An African woman's brain bhana....Dah we love you anyway!

not only women..but also men... in conclusion- Africans in general..teh western view towards african..dah long time kitambo in AFRICAN PHILOSOPHY..
After all nshampata wa kunipenda so hata mkinipenda SIHITAJIIIIIIIIIII...
 
Soma tu uhalisia wa post na comment zake utaelewa mpenz
Au vuta popukoni aka bisi enjoy kama mm

aliepost kapost kamaliza yake..wakucoment nao wanacomment kivyao..nakumbuka kwenye bios miaka ileeeee tulisomaga aina za midomo ya ndege.....wengine mireefuuu yakunyooka, wengine mirefuuu yakupinda, wengine imetawanyika n.k.. tabu tupu yan anyway kila mmoja anaongea kulingana na domo lake..
 

We nae kumbe una maneno eeh?
 
walipanga usioleweee hao wanadamu weeeeee ila wema wa mungu umekuzungukaa...umenizunguka wemaa umenizungukaa...zungukaa zungukaa... teh kazi unayooo..

Sherehekea tuu! Msukuma hajui km dunia inazunguka, ngoja atoke kwenye fungate la birthday tushuhudie filamu ya maangamizi!
 

Noted:sly:😱:beer:
 
walipanga usioleweee hao wanadamu weeeeee ila wema wa mungu umekuzungukaa...umenizunguka wemaa umenizungukaa...zungukaa zungukaa... teh kazi unayooo..

Heheheh mwanadamu atakupangiaje usiolewe wakat hata ndoa za jf zipo?
 
walipanga usioleweee hao wanadamu weeeeee ila wema wa mungu umekuzungukaa...umenizunguka wemaa umenizungukaa...zungukaa zungukaa... teh kazi unayooo..

Wivu?
Me?kwa lipi hasa?
 
Kumbe humu naweza kupata mke mzuri....hongera kwa kumpata.
 
Heheheh mwanadamu atakupangiaje usiolewe wakat hata ndoa za jf zipo?

wee mbona povu linakutoka lakin??? nimekukosea nini mimi mpaka umeniandama kiasi hiko heeeeeeeeh!!!!
 
wee mbona povu linakutoka lakin??? nimekukosea nini mimi mpaka umeniandama kiasi hiko heeeeeeeeh!!!!

Mahondaw nakushauri tena waombe mods wafunge huu uzi ! Wenye kujua washajua
 
Wivu?
Me?kwa lipi hasa?

kwani umetajwaa??????!!! mbona unajishuku hivoo??? anyway talk as much as u can so long as u cant change reality mi nakuchoraaaaa tu....
ADIOS..!!
 
wee mbona povu linakutoka lakin??? nimekukosea nini mimi mpaka umeniandama kiasi hiko heeeeeeeeh!!!!

mahondaw nakushauri tena waombe mods wafunge huu Uzi wenye kujua washajua
 
Wivu?
Me?kwa lipi hasa?

kwani umetajwaa??????!!! mbona unajishuku hivoo??? anyway talk as much as u can so long as u cant change reality mi nakuchoraaaaa tu.... heheheiiiiiyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ADIOS..!!
 
Kila lenye heri... Hata mimi nilipata kupitia hapa, usiyumbishwe na maneno, omba Mungu sana coz bado humjui wala kumfahamu huyo uliye naye..
...wanaume wengi ni malaghai, jaribu kumsoma kabla ya kuingia mazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…