Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kuhamia USA nikitaka, lakini mshahara ni ule ule popote nitakapoamua kufanyia kazi

Nakushauri uende ili familia nzima mpate fursa za huko.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Hakuna shirika lenye kujielewa wakatoa same salary scale kwa mtu anakaa bongo na mwingine Texas us ukizingatia tofauti kubwa ya gharama za maisha
Sawa, ni mawazo yako pia.
Ila hawa wao ni kwamba they dont require you kuwa USA ili kuifanya kazi,so you do not have to relocate. Nadhani ndio maana iko hivyo.
 
Aisee [emoji119][emoji119]

Parefu mno kwa maisha ya kibongo,

Natamani nikushauri ubaki Bongo ule mema ya nchi,
Ila no way Go to USA kwasababu ya future ya Generation yako na kupave a way ya fursa zaidi,
Ili ufanikiwi sometimes inabidi ufanye maamuzi ambayo wengine watahisi umechanganyikiwa,
 
Kuna mshenzi mmoja tuko chuoni alitulaghai bana akasema atatuajiri Barric gold mine North Mara...yani tuliwehuka..huo mshahara aliotutajia ni interms of dollars tukataka tuache na chuo...mhh badae tunajiuliza mshahara wote huu ni sisi au? Na barua yenye nembo ya barick zikatumwa kwny simu zetu sijui yule alikua IT mpk leo nawaza..ila akasema kuna kiasi tutatakiwa tutoe...ndo akili ikaja kuuliza uliza tukaambiwa mtaliwa hela na nyie wenyewe mtaliwa..tuka escape from sorbibo
 
Naona umetaka ushauri na mwisho umeishia kujijibu mwenyewe, anyway gharama za maisha USA ni kubwa kuliko bongo, unless unataka kuishi maisha ya marekani regardless ya hayo hapo juu. Lakini kama unataka kufanya savings na maendeleo maana kipato ni kilekile basi Tanzania panabakia kuwa chaguo sahihi.


Kila la kher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…