Mimi naona hamia US mkuu utajiongeza hata na mishe nyingine hata hivyo hilo jimbo la Texas maisha si expensive kihivyo, kulinganisha na majimbo kama New York au California kwanza TX ni kati ya majimbo ya US ambayo hayana kitu kinaitwa State Income Tax, na ni jimbo ambalo kwa sasa linapokea wahamiaji wengi toka majimbo mengine yenye maisha ya aghali
JF ina watu wengi wenye exposure mbalimbali mkuu kuhusu masuala ya maisha, kuhamia na kuishi nchi za watu. So, nimeleta hapa just to get ideas hasa kutoka kwa watu ambao walishafanya movements za hivyo. Hakuna mjuzi wa kila kitu katika hii dunia mkuu, unaweza ukawa ni mbobezi katika field yako, lakini haimaanishi sasa hiyo inakupa uzoefu wa mambo ambayo huna uzoefu nayo.Nawaza mtu mwenye elimu ya kulipwa mshahara wa 19,125,000
Anakosaje uwezo wa kuchanganua kipi ni kipi kwake mpaka aulize jf .... nawaza tu wakuu
Umewaza kama mimi. Mtu mwenye kulipwa huu mshahara bila shaka ni mtu mwenye upeo wa kuchambua mambo hasa maisha yake na familia yake. Mimi nimeona kwa angle nyingine. Je, anajiandalia mazingira ya kuombwa connection ili apige watu? Kwanza mashirika mengi huwa wanalipa mishahara kulingana na hali ya maisha ya nchi husika.Nawaza mtu mwenye elimu ya kulipwa mshahara wa 19,125,000
Anakosaje uwezo wa kuchanganua kipi ni kipi kwake mpaka aulize jf .... nawaza tu wakuu
Asante kwa mawazo yako mkuu.Mimi naona hamia US mkuu utajiongeza hata na mishe nyingine hata hivyo hilo jimbo la Texas maisha si expensive kihivyo, kulinganisha na majimbo kama New York au California kwanza TX ni kati ya majimbo ya US ambayo hayana kitu kinaitwa State Income Tax, na ni jimbo ambalo kwa sasa linapokea wahamiaji wengi toka majimbo mengine yenye maisha ya aghali
Hakuna hata kitu cha kuwaza hapo ni story tu hiyo...Nawaza mtu mwenye elimu ya kulipwa mshahara wa 19,125,000
Anakosaje uwezo wa kuchanganua kipi ni kipi kwake mpaka aulize jf .... nawaza tu wakuu
Mm naona baki hapa mkuu hiyo pesa kwa USA ni ndogo,maisha ya kule jumulisha na bills utajampa upepo na kwambia, kwa huku hiyo hela ni nyingi sana. Kwa huku uta jimwambafai sana tu.Habari wakuu.
Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.
The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.
Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.
Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.
19,125,000 kwa rate ya leoM.17 na laki 2.5 unaeda wapi?
Kufikia hapa sasa nashauri uzi huu ufungwe na maoni yasiendelee.Indeed hiyo sio pesa ya kutisha US hasa kwenye mji kama Houston, ila there's truckload more that the US offers kulinganisha na Ileje (Bongo yote ni Ileje tu).
Nenda nje kapate exposure, ongeza ujuzi, elimu na maarifa. It's easier to scale up ukiwa nchi ya maziwa na asali-US kuliko Ileje. Utadouble hiyo amount within a short period of time. Ushajiuliza ukibaki bongo afu ukapoteza hiyo kazi ni wapi pengine utapata kazi kama hiyo? US zipo kibao ni wewe tu.
Badilisha mazingira huko mbeleni ukiamua kurudi Ileje it's up to you ila at least jaribu maisha upande wa pili. Usiinyime familia fursa.
Asante sana mkuu kwa mawazoMm naona baki hapa mkuu hiyo pesa kwa USA ni ndogo,maisha ya kule jumulisha na bills utajampa upepo na kwambia, kwa huku hiyo hela ni nyingi sana. Kwa huku uta jimwambafai sana tu.
Asante mkuuKwa uzoefu kama ni kweli ,usipende kufanya kazi makao makuu jaribu kukaaa vituoni ....Kukaa makao makuu jau sana ..
Ni shirika gani CHAI (Clinton Health Access Initiative) au lipi?Habari wakuu,
Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.
The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.
Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.
Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.
Sio hilo mkuu, ila linafanana na hilo kwa maana ni upande wa afya, lakini wenyewe wana miradi ya mama na mtoto sana sana.Ni shirika gani CHAI (Clinton Health Access Initiative) au lipi?