TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
- Thread starter
-
- #101
Hiyo USD 7500 ni NET; Yaani baada ya makato ya kodi, bima ya afya, pension; ninachobaki mkononi ndio hiyo amount mkuu, sio GROSS.Kuna makato sana, hiyo hela kama ni offer waliokupa ukibaki sana ni na dollar 1700-2800 kwa US. Huwezi pata hiyo hela ajira yyte us. Maana hujatuambia makato. Wether upo bongo au kule. Makato ni yale yale yanakuhusu.
So baki bongo kama kweli.
Fanya remote. Wapo wengi tu wanafanya remote. Haswa watu wa pharmacy, sales za magari au wale realtor wapo wengi tu bongo. Ila offer yako pia ndogo sana wamekupa.
Wenzako wengi Wanakula 12000 usd mpaka 16,000 wanabaki na kati ya 6,000 na 7500 so review your agreement.
Ndio urudi hapa.
Ni kweli kabisa mkuu, yaani kichwa kinawaka moto balaa. Asante sana kwa ushauri mzuri, uko sahihi sana.Hakuna kitu kibaya kama dilema katika kufanya uamuzi / indecision. Usd 7k kwa kule ni pesa ndogo kama wadau wanavyosema kuna bills kibao za lazima
Unaenda kuishi maisha tofauti ya upweke wewe na familia yako. Yani kule ukienda ni kazi kazi kazi juu ya kazi
Mke nae atafutiwe kazi ili muweze kupay bills na kusave
Ila kibongo bongo iyo pesa utaienjoy sana na utawekeza na kunufaika zaid
Wala sijishughulishi nao mkuu, acha kila mtu aamini anachotaka kuamini tu. Huwezi ridhisha mtu wa nyuma ya keyboard, hata hamfahamiani, sijui anatype akiwa wapi, tabia zake, na kadhalika.Watu kama hao unawafunga mdomo unatupia ka visa hako ulichosema.
Hiyo ana stress ajala, umeme hakuna, joto na mafuriko kwa pamoja. Akili jaiwezi kuwa sawa
Achane nae mkuu sasahv wengi tunashindia mihogo na maji ujinga wa kunywa chai hatutaki hivyo wivu lazima uongezekeWala sijishughulishi nao mkuu, acha kila mtu aamini anachotaka kuamini tu. Huwezi ridhisha mtu wa nyuma ya keyboard, hata hamfahamiani, sijui anatype akiwa wapi, tabia zake, na kadhalika.
Acha uzwazwa kijana na ulimbukenii wa kijingaa.... hizo dola 7500 ni mil 15 kibongoo komaa hapa uishii kama upo peponiii..Naona naysayers wamekua wengi sana.
Anyways, ni sawa pia kwa sababu ni sahihi watu kuwa na wasiwasi, wanasema wasiwasi ndio akili.
Hii nafasi ilikua ni global, yaani ililua mtu kutoka sehemu yoyote ile ya dunia anaweza ku apply, hivyo kwenye interviews nilishindana na watu kutoka nchi mbalimbali. I did like 5 rounds of interviews. Kwenye tangazo la kazi, location ilionyesha kuwa preferred locations ni zile nchi za Africa ambazo mradi husika unatekelezwa.
Baada ya kupita rounds zote interviews kwenye dicussions kabla ya kusaini mkataba ndio zimekuja hizo options; Wao kama wao hawana shida nikifanyia kazi hata huku huku Tz, lakini in case nikitaka kuhamia USA, ndo hiyo nafasi ipo na wata sponsor H-1B VISA kuwezesha hilo, lakini benefits zinabaki zile zile tu. Hakuna ongezeko kwa sababu ishu ya kuhamia USA ni uchaguzi wangu sio requirement ya kazi yao, I can work from here and still deliver perfectly bila shida.
Pia, kitu kingine ni kwamba, naweza pia nikabaki hapa bongo lakini nisiwe employer wao, ila nikafanya nao kazi nikiwa kama consultant, na nikawa napata the same benefits, ila hapo nakua tu consultant.
Bado marekani usiende ww.Hiyo USD 7500 ni NET; Yaani baada ya makato ya kodi, bima ya afya, pension; ninachobaki mkononi ndio hiyo amount mkuu, sio GROSS.
Chance ndoto
kibongo bongo awekeze sana kama uko .mbeleni kutakuwa na uwezakano ndo aendeBado marekani usiende ww.
Kuna vitu vingi sana bado hujavielewa kwenye mshahara wa marekani. Kwa maelezo yako. Usiende. Kama kuna kazi fanya hapa hapa.
Mkuu watoto wa kuzalia USA na wakakulia USA ni tofauti kabisa na watoto wanaozaliwa Tanzania na kupelekwa USA kwa kila kitu akili mpka matendo.Akazae watoto huko huko na kufanya hayo yote.
Asante sana kwa ushauri wako. Ni kweli, kuna vitu vingi sijui bado kuhusiana na maisha ya Marekani, ikiwepo hayo masuala ya makato ya mishahara, gharama za maisha, na kadhalika; nina taarifa limited kuhusiana na mambo mengi ya huko, ndio maana pia nikaleta hapa maana najua JF ni jungu kuu, kuna watu wana exposure za kutosha juu ya maisha ya huko. Kwa hiyo, nitafurahi zaidi pia kama uki share hapa zaidi kuhusu masuala ya maisha ya huko. Chance ndotoBado marekani usiende ww.
Kuna vitu vingi sana bado hujavielewa kwenye mshahara wa marekani. Kwa maelezo yako. Usiende. Kama kuna kazi fanya hapa hapa.
Ni zaidi ya milioni 19 to be precise. Nakushauri pia utumie lugha ya staha katika ushauri wako mkuu. Asante pia kwa ushauri, nimelichukua.Acha uzwazwa kijana na ulimbukenii wa kijingaa.... hizo dola 7500 ni mil 15 kibongoo komaa hapa uishii kama upo peponiii..
Asante kwa ushauri.Afanye
kibongo bongo awekeze sana kama uko .mbeleni kutakuwa na uwezakano ndo aende
Asante sana kwa ushauri wako. Ni kweli, kuna vitu vingi sijui bado kuhusiana na maisha ya Marekani, ikiwepo hayo masuala ya makato ya mishahara, gharama za maisha, na kadhalika; nina taarifa limited kuhusiana na mambo mengi ya huko, ndio maana pia nikaleta hapa maana najua JF ni jungu kuu, kuna watu wana exposure za kutosha juu ya maisha ya huko. Kwa hiyo, nitafurahi zaidi pia kama uki share hapa zaidi kuhusu masuala ya maisha ya huko. Chance ndoto
Shukrani sana mkuu. Nimeangalia na gharama za nyumba, seems kwa Houston na Texas in general is relativelly cheaper compared na states zingine. Chance ndotoView attachment 2881703
Naomba uangalie hilo jedwari. Na nikushauri tena. Ungekua mwanafunzi ningesema hela hyo inakutosha. Ila kwasbabu una familia huku. Pambana bongo kwanza then baadae utaenda huko. Maana utahitaji walau 68,000$ ili uishi maisha favourable.
Umetaja Houston. Patakufaa ila kusanya kwanza hela. Au kama una mpunga nenda. Or else utaenda kuishi kama unajitafuta na inaweza kukucost zaidi. Angalia jedwali kwa maswali zaidi nitag.
Kula sana huwa siyo vizuri. Unatakiwa kula sababu mwili unauhitaji, siyo unakula kwasababu tu chakula kipo na unakula had kiishe. Just kula responsibly.Habari wakuu,
Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.
The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.
Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.
Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.
Hahahahaha....!! Hili ni fumbo mkuu?Kula sana huwa siyo vizuri. Unatakiwa kula sababu mwili unauhitaji, siyo unakula kwasababu tu chakula kipo na unakula had kiishe. Just kula responsibly.
View attachment 2881750
Yes bossShukrani sana mkuu. Nimeangalia na gharama za nyumba, seems kwa Houston na Texas in general is relativelly cheaper compared na states zingine. Chance ndoto
Angalia isije ikawa ni Scammers mkuu. Watu wanaumizwa na wengine kupotezewa sana muda huku mitandaoni.Hahahahaha....!! Hili ni fumbo mkuu?
Sio scammers mkuu, hawa ni watu very legitimate, nimejiridhisha na hilo asilimia 100. Ondoa hofu.Angalia isije ikawa ni Scammers mkuu. Watu wanaumizwa ma wengine kupotezewa sana muda huku mitandaoni.
Okaay, una uhakika mkuu? Naona hapa unanimix tena mkuu.Usd 7500 sio pesa ndogo hata USA, maana hapo una kazi ya karibia dola 40 kwa saa which is very nice hata marekani, kapige kazi mzazi