Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kuhamia USA nikitaka, lakini mshahara ni ule ule popote nitakapoamua kufanyia kazi

Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kuhamia USA nikitaka, lakini mshahara ni ule ule popote nitakapoamua kufanyia kazi

Ninajua unasema ukweli ila nina amini...kuna mahali hakupo sawa...

Mshahara wa 7500 kwa Us ni hela ndogo sana...ukihamia us tena makao makuu...lazma huo mshahara uwe mara mbili au tatu...

Kwa kukushauri...

Baki bongo utanishkuru na uwekeze kweli kweli achana na bata kabisa labda kama uko 20's

Nina rafki angu mmoja nahisi ni inteligence wa us ila ni mbongo analipwa dola 9elf...anaishi kitajiri sana
Ofice nyumbani na kila kitu hapa bongo wako wawili tu

Baki hapa....us utaenda tu ukiperfome na ukivumilia na utaenda na mshahara sahihi
Nailed. Kwa kuongezea kama wanaruhusu kwenda hata kijijini hamia huko. Mchele 1000 matunda kwa jirani nyumba piga ua 30k kwa mwezi unaweza ukajikuta unatumia 200k kwa mwezi 18mil una save.
 
Nailed. Kwa kuongezea kama wanaruhusu kwenda hata kijijini hamia huko. Mchele 1000 matunda kwa jirani nyumba piga ua 30k kwa mwezi unaweza ukajikuta unatumia 200k kwa mwezi 18mil una save.
Nipo nyanda za juu kusini mkuu, ni mjini lakini bei za vitu hasa vyakula ziko chini sio kama Dar/Dodoma.
Siwezi kwenda kijijini maana hiyo kazi itanihitaji sana sana niwe na umeme wa uhakika na internet ya uhakika popote nitakapokua nafanyia kazi.
 
Nipo nyanda za juu kusini mkuu, ni mjini lakini bei za vitu hasa vyakula ziko chini sio kama Dar/Dodoma.
Siwezi kwenda kijijini maana hiyo kazi itanihitaji sana sana niwe na umeme wa uhakika na internet ya uhakika popote nitakapokua nafanyia kazi.
Tulia hapo hapo. Save hela 18mil unaweza kuisave na kuiingiza kwenye miradi ikakupa increment
 
Sawa, ni mawazo yako pia.
Ila hawa wao ni kwamba they dont require you kuwa USA ili kuifanya kazi,so you do not have to relocate. Nadhani ndio maana iko hivyo.
Basi baki hapa Bongo, do remotely utaenda kutembea Marekani mara mbili kwa mwaka kama ulivyosema inatosha.

Kama usingekuwa na familia angalau ungeweza kwenda Matekani ila kwenda na familia kwa kiasi hiko cha mshahara Marekani utaishi kwenye rat race wakati bongo hapa Dar utaishi kama mfalme.

Pia fanya thoroughly scrutiny unjiridhishe pia kuwa hiyo kazi ni genuine.
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.

kaishi italy[emoji3]
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.

ukienda USA utarudi shoga!! wanavopenda kuchakatana kule
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.
Kwa pesa hiyo baki bongo....jambo jema ni kwamba mara mbili kwa mwaka unakwea pipa kwenda kutoa sumu....alhamdulilah si mbaya....wekeza nyumbani....18,750,000....kila mwezi unaficha..m.10.iliyobaki unaishi vyema na kuwekeza
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.
Mmi sijaishi usa but stay bongo toa mjengo mkali ,nunua dinga kali n invest more ...Baada ya hapo itahisi upo texas vile

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Nenda tu state ukifika elekea Texas piga kazi nunua ranch yako uwe cowboy uanze kufuga farasi ila uwe makini usiende kusalimia majirani maana Texas hadi wabibi ni wahuni wanatembea na Revolver bunduki za cowboy
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.
Kama unalipwa$ 7 k ukiwa Tanzania wewe kaa hapo hapo. Maana $7k kwa Tanzania ni Sawa na mtu anaye Pata $14 kwa mwezi akiwa anaishi USA. Hizo $7k ukiwa marekani ni Sawa na mshahara wa milioni 1 Tanzania..
 
Nilidhani angalau umeshaanza kazi na kupokea hata mishahara miwili kumbe bado. Ninaungana na watu wengine wanaosema kuna utapeli hapo. AMKA KIJANA.
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.
Ukiomba kazi mtujuze hivihivi tujue jinsi ya kuwaombea kwa allah
 
Kuna makato sana, hiyo hela kama ni offer waliokupa ukibaki sana ni na dollar 1700-2800 kwa US. Huwezi pata hiyo hela ajira yyte us. Maana hujatuambia makato. Wether upo bongo au kule. Makato ni yale yale yanakuhusu.
So baki bongo kama kweli.
Fanya remote. Wapo wengi tu wanafanya remote. Haswa watu wa pharmacy, sales za magari au wale realtor wapo wengi tu bongo. Ila offer yako pia ndogo sana wamekupa.

Wenzako wengi Wanakula 12000 usd mpaka 16,000 wanabaki na kati ya 6,000 na 7500 so review your agreement.
Ndio urudi hapa.
 
Sijui kuhusu nyinyi wenzangu ila binafsi sajawahi kutamani kuishi nje ya Nchi yangu kabisa. I mean, everyone is here. Wazazi, Kaka zangu, dada, Rafiki zangu, Ma ex, ma crush wangu kila cha maana na cha kipuuzi kwangu kipo hapa. Mnawezaje kwenda kuanza moja kwenye nchi za kigeni zenye tamaduni tofauti kabisa na mlizokulia huku mkiacha nyuma kila kilichowakuza... ?!
Wwe mindset yako ina shida sana.

kwani ukienda huko biden anakuambia tulia huku huku hakuna kurudi kwenu?

Mkuu unPopata exposure hata ubongo unakuwa zaidi na unafahamu vitu vingi.
Weee endelea kulima ufuta hapo msanga chole
 
Mkuu kama unatak kuja kuishi huku njoo na vzr for exposure ila usisahau Ili

Huku maisha ni expensive labda uje na usake kaz zngne (part time) kwa mshahara huo ni bora ukala nao huko huko Tz


Ukija usisahau kuniandia ujumbe
 
Back
Top Bottom