Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi ila naona aibu kuifanya

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi ila naona aibu kuifanya

Hii nayo kali.

Mbona siku hizi hivyo vitu havina uaibu tena na mara nyingi wenye aibu ni sisi wanunuaji hasa muuzaji anapokuwa Me.
na kuna wadada hawana kabisa,juzi nilikuwa pharmacy moja nanunua dawa akaja mdada "naomba p2" mule ndani tulikuwa watu wanne
anyway uzi huu umenikumbusha miaka ya nyuma kuna jamaa aliitwa mathayo,yeye kazi yake ilikuwa kuzibua vyoo na hakuona aibu kabisa nashangaa mleta mada
 
Kuna siku waifu aliniagiza nimrudie na pedi. Nilipata wakati mgumu pake duka la dawa niliponunua ilibidi niandike kwenye karatasi mana kulikuwa na watu mob mle ndani. Muuzaji alicheka sana
Aisee kama hujazoea lazima ikupe shida kuitaja .
Nilivyokuwa mdogo ndo nilikuwa naona aibu ila sasa hata iweje nanunua zangu sina habari .
 
Mambo job seekers wenzangu.

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza pedi hizo za wadada.

Mnanishaurije?
Mwenye uhitaji hachagui kazi
 
ww ni matackle
Mambo job seekers wenzangu.

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza pedi hizo za wadada.

Mnanishaurije?
 
Kuna siku waifu aliniagiza nimrudie na pedi. Nilipata wakati mgumu pake duka la dawa niliponunua ilibidi niandike kwenye karatasi mana kulikuwa na watu mob mle ndani. Muuzaji alicheka sana
[emoji3][emoji3][emoji3] pole
 
Ungejua ilivo kawaida kabisa, aibu ya nini tena ili kuvutia wateja andaa na somo jinsi ya kuvaa vizuri fundisha. Utavutia wateja wengi ke kwa me. Watu wanauza vigodoro, vyupi sembuse pads aah.
 
Acha ujinga Pedi ni kama nguo nyingine za mwili, angalia kipato tena uwe unafundisha na wateja njia nzuri za kuvaa hizo pedi
Naomba nianze na wewe😅 kwenye mafunzo kwa vitendo😅
 
Ila hii dunia bana afu kwenye salary umetupiga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo job seekers wenzangu.

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza pedi hizo za wadada.

Mnanishaurije?
 
A successful is the One who loves what s/he does and not does what s/he loves
 
Back
Top Bottom