Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi ila naona aibu kuifanya

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi ila naona aibu kuifanya

Ondoa aibu na ufanye kazi,Watu tunatafuta Kaz we umeipata afu unaona soo kuifanya?
 
Wewe unaleta jokes tu Always kama unania utafanya na utakapofikia malengo yako utaachana nayo
Mambo job seekers wenzangu.

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza pedi hizo za wadada.

Mnanishaurije?
 
Mambo job seekers wenzangu.

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza pedi hizo za wadada.

Mnanishaurije?
Unaona aibu!!!!??

Mwenyewe nipo nauza pedi hapa kwenye kijiwe changu.

Kama una chanzo kingine cha ugali basi huna budi kusema hivi
 
Mambo job seekers wenzangu.

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza pedi hizo za wadada.

Mnanishaurije?
Ndugu usisubutu kukataa kazi maana hujui Muumba wako kakuandalia nini mbele ya maisha yako, shukuru Mungu maana wengi waliitamani hiyo nafasi lakini hawakujaaliwa kuipata. Usisubutu kuacha hiyo kazi.
 
Mambo job seekers wenzangu.

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza pedi hizo za wadada.

Mnanishaurije?
Ukiuza Pedi na wewe utaanza kubleed au?

Ovyoo sana[emoji57]
 
Pale kiwango cha ujinga kinapozidi kiwango cha umasikin ndio matokeo yake ayo
 
Pedi tu hvyo!!Mabeseni utaweza kutembeza mkuu huku umepigwa Suti kachumbali?
 
Hahahaha kazi za kuhudumia wanawake navyozipenda sasa hizo pedi wangenunu na huku hawajafikia siku zao. Tena wakiwa hawana mbavu kwa kicheko
 
Kazi kazi mkuu..mwenzio nina goli langu kariakoo nauza chupi za wadada tu..na napiga pesa kinoma asee
HaHAha mzee unauza vifuniko vya asali....mzeya nipo mchongo nami niuze vifuniko vya asali nikiunganisha na hii kazi ya bodaboda nitakuwa najilia mbususu kwa raha zangu
 
Mambo job seekers wenzangu.

Nimepata kazi kwenye kampuni ya kuuza pedi kama mtu wa sales. Mshahara laki 8 kabla ya makato ila naona aibu kuifanya sababu naona kama sitokuwa comfortable kuuza pedi hizo za wadada.

Mnanishaurije?
Naitaka mm hiyo kazi kma vp niwe hata wakala wao kutokea tanga
 
Bado maisha hayajakukong'ori wewe! Watu wanauza bikini wanadindisha na kupiga nyeto mpaka wanapata kizunguzungu mwisho wa siku wanaona hiyo ni kaz kama kaz nyingine.Period tuingie sisi uone aibu wewe? Kidding!!
 
Back
Top Bottom