Nimepata kazi shirika la wakimbizi(UNHCR) south sudan

Nimepata kazi shirika la wakimbizi(UNHCR) south sudan

Gaganiga

Senior Member
Joined
Nov 13, 2022
Posts
168
Reaction score
376
Saludo,

Kila siku naendelea kumshukuru Mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zipo but all in all namshukuru mungu for everything.

Hello niwatangazia umma au member wa jamii forums ya kwamba nimepata mchongo I mean kazi umoja wa mataifa kwenye shirika la wakimbizi(UNHCR) site ya sudan kusini katika makambi mbali mbali kama kule refugees camp, pedui refugees camp na n.k aisee life is good.

Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya furaha tu, kama una wivu na chuki tafadhali Pita hivi huu uzi haukuhusu nyie endeleeni na battle zenu za nchi yenu sie wengine tunaendelea kupaa mawinguni.
581c5b1a4.jpg
rtsylth-edit_custom-8394636a5f2428ea7b0b5a6bd8a00e60d94e4ca6.jpg
binnenvertriebene-dschuba-un-photo-1920-data.jpg
 
Saludo,

Kila siku naendelea kumshukuru mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zip but all in all namshukuru mungu for everything.

Hello niwatangazia umma au member wa jamii forum ya kwamba nimepata mchongo I mean kazi umoja wa mataifa kwenye shirika la wakimbizi(UNHCR) site ya sudan kusini katika makambi mbali mbali kama kule refugees camp,pedui refugees camp na n.k aisee life is good.

Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya furaha tu.kama una wivu na chuki tafadhali Pita hivi huu uzi haukuhusu nyie endeleeni na battle zenu za nchi yenu sie wengine tunaendelea kupaa mawinguni.

Hongera. Nimefanya nao kazi sana
Sio wote wabaya kuna wema pia.
 
tunaendelea kupaa mawinguni
Yaani una ego mbaya mno aisee ukiwa level za akina Elon Musk utatunyea wewe ukiwa mawinguni. Yaani hizi sentence ndio umeharibu na umejionyesha akili yako ilivyo Kama kimipasho fulani.kama vitisho.ama kuwababaishia watu.

Ile ya utoto ukiwa na kitu unaenda kuwalingishia wenzako.
 
Yaani una ego mbaya mno aisee ukiwa level za akina Elon Musk utatunyea wewe ukiwa mawinguni. Yaani hizi sentence ndio umeharibu na umejionyesha akili yako ilivyo Kama kimipasho fulani.kama vitisho.ama kuwababaishia watu. Ile ya utoto ukiwa na kitu unaenda kuwalingishia wenzako.
Jamaa anaweza pita hata na mama mkwe Kwa kujinadi huku walahi 😆
 
Saludo,

Kila siku naendelea kumshukuru mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zip but all in all namshukuru mungu for everything.

Hello niwatangazia umma au member wa jamii forum ya kwamba nimepata mchongo I mean kazi umoja wa mataifa kwenye shirika la wakimbizi(UNHCR) site ya sudan kusini katika makambi mbali mbali kama kule refugees camp,pedui refugees camp na n.k aisee life is good.

Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya furaha tu.kama una wivu na chuki tafadhali Pita hivi huu uzi haukuhusu nyie endeleeni na battle zenu za nchi yenu sie wengine tunaendelea kupaa mawinguni.
Hongera mkuu,.

Ahsante pia nimeipokea kwa mikono miwili hiyo aya ya mwisho
 
Saludo,

Kila siku naendelea kumshukuru mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zip but all in all namshukuru mungu for everything.

Hello niwatangazia umma au member wa jamii forum ya kwamba nimepata mchongo I mean kazi umoja wa mataifa kwenye shirika la wakimbizi(UNHCR) site ya sudan kusini katika makambi mbali mbali kama kule refugees camp,pedui refugees camp na n.k aisee life is good.

Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya furaha tu.kama una wivu na chuki tafadhali Pita hivi huu uzi haukuhusu nyie endeleeni na battle zenu za nchi yenu sie wengine tunaendelea kupaa mawinguni.
Ulipataje?
 
Ku
Yaani una ego mbaya mno aisee ukiwa level za akina Elon Musk utatunyea wewe ukiwa mawinguni. Yaani hizi sentence ndio umeharibu na umejionyesha akili yako ilivyo Kama kimipasho fulani.kama vitisho.ama kuwababaishia watu. Ile ya utoto ukiwa na kitu unaenda kuwalingishia wenzako.
Vimba na kuwalingishia watu ni muhimu! Na watanikomoa
 
Yaani una ego mbaya mno aisee ukiwa level za akina Elon Musk utatunyea wewe ukiwa mawinguni. Yaani hizi sentence ndio umeharibu na umejionyesha akili yako ilivyo Kama kimipasho fulani.kama vitisho.ama kuwababaishia watu. Ile ya utoto ukiwa na kitu unaenda kuwalingishia wenzako.
Amesahau humu hakuna anae mfahamu, akaanza kujitapa kama anazungumza na watu wa mtaani kwao...ni ushamba tu si kingine.
 
Wee unafurahia wenzako wana Pata mataizo katk nchi zao wewe unaenyoy Hali hyo kwanin unamkufuru mungu kwa kauli zako za hvyo

Amani ingepatikana katk maeneo hayo hyo kazi ingepata wapi ?
Waombee mungu amani ipatikane na siyo kuja kuongea ushuzi hapa eti maish Ni good kisa unauhudumia wakimbizi ambo serkali zao ndio imewafikisha hapo walipo

HV lini waatanzania mtapata uelewa kidgo mm nilidhani kuwa unamshukuru mungu kumbee unafurahia hao jamaa kupata matezo shenzi typuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yaani una ego mbaya mno aisee ukiwa level za akina Elon Musk utatunyea wewe ukiwa mawinguni. Yaani hizi sentence ndio umeharibu na umejionyesha akili yako ilivyo Kama kimipasho fulani.kama vitisho.ama kuwababaishia watu. Ile ya utoto ukiwa na kitu unaenda kuwalingishia wenzako.
Amesahau humu hakuna anae mfahamu,akaanza kujitapa kama anazungumza na watu wa mtaani kwao...ni ushamba tu si kingine
 
Fatilia nyuzi zake huyo Jamaa ni mgongwa wa Akili
Wee unafurahia wenzako wana Pata mataizo katk nchi zao wewe unaenyoy Hali hyo kwanin unamkufuru mungu kwa kauli zako za hvyo

Amani ingepatikana katk maeneo hayo hyo kazi ingepata wapi ?
Waombee mungu amani ipatikane na siyo kuja kuongea ushuzi hapa eti maish Ni good kisa unauhudumia wakimbizi ambo serkali zao ndio imewafikisha hapo walipo

HV lini waatanzania mtapata uelewa kidgo mm nilidhani kuwa unamshukuru mungu kumbee unafurahia hao jamaa kupata matezo shenzi typuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wee unafurahia wenzako wana Pata mataizo katk nchi zao wewe unaenyoy Hali hyo kwanin unamkufuru mungu kwa kauli zako za hvyo

Amani ingepatikana katk maeneo hayo hyo kazi ingepata wapi ?
Waombee mungu amani ipatikane na siyo kuja kuongea ushuzi hapa eti maish Ni good kisa unauhudumia wakimbizi ambo serkali zao ndio imewafikisha hapo walipo

HV lini waatanzania mtapata uelewa kidgo mm nilidhani kuwa unamshukuru mungu kumbee unafurahia hao jamaa kupata matezo shenzi typuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hii kazi bana inahitaji moyo,wito na kujituma, mambo ya upigaji ni chanzo cha laana .... Kupewa vitu vya distribution na kuvipiga panga itamgarimu... Mafanikio yapatikane kwa mshaara wa halali sio kinyume na hapo.
 
Back
Top Bottom