Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Ila Jamii forum😆😆 najifunza kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzania mkuu chuki kwao ni kama chai wala simshangai ni umasikini wa kwao umemuathiriMkuu umemshauri ipasavyo, ila umemkamia sana hii ni ushauri iliyo beba chuki ndani yake.., kikubwa ungesema mshukuru Mungu kwa kukupa hiyo nafasi ingetosha zaidi ya yote hayo ..,
Kwanza unatumia infinix toka zakoWee unafurahia wenzako wana Pata mataizo katk nchi zao wewe unaenyoy Hali hyo kwanin unamkufuru mungu kwa kauli zako za hvyo
Amani ingepatikana katk maeneo hayo hyo kazi ingepata wapi ?
Waombee mungu amani ipatikane na siyo kuja kuongea ushuzi hapa eti maish Ni good kisa unauhudumia wakimbizi ambo serkali zao ndio imewafikisha hapo walipo
HV lini waatanzania mtapata uelewa kidgo mm nilidhani kuwa unamshukuru mungu kumbee unafurahia hao jamaa kupata matezo shenzi typuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni Ile kauli yake, ujue smt binadamu kuchange behavior Ni hard so should either change by pains or by pleasure. Ilikuwa Kama kumkaripia ama kumkanya. Sasa chuki labda ya Nini ndugu.chuki ndani
Unataka kusema Dr uomba watu waugue ili awatibu? Je anayejenga hospital binafsi maombi yake kwa Mungu ni kuwa watu waugue ili apate pesa? Angalia hospital za serikali mapato yakipungua vingozi wa hospital utiliwa shaka na wanaweza kuhamishwa kwa sanabu hiyo.Wee unafurahia wenzako wana Pata mataizo katk nchi zao wewe unaenyoy Hali hyo kwanin unamkufuru mungu kwa kauli zako za hvyo
Amani ingepatikana katk maeneo hayo hyo kazi ingepata wapi ?
Waombee mungu amani ipatikane na siyo kuja kuongea ushuzi hapa eti maish Ni good kisa unauhudumia wakimbizi ambo serkali zao ndio imewafikisha hapo walipo
HV lini waatanzania mtapata uelewa kidgo mm nilidhani kuwa unamshukuru mungu kumbee unafurahia hao jamaa kupata matezo shenzi typuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Duh kwa dharau hizi unaweza kumtukana hata Mungu..aise hongera kwa kua top of the world.So,we masikini unataka nini
Duh apartment ya rihanna? Barbados? [emoji23]Wiki iliyopita alikua Barbados kwenye apartment ya Rihana ,fungate,kwa tujiongeze
Ita
Soma post za nyuma ndio utajua una deal na mtu wa aina gani. ( Mental health patient).Kaka vyema ukatupa na namna tunavoweza zipata hizo kazi...maana imekuwa ngumu kuzifumania
UNHCR wameajiri 🚮🚮, ila tambua hizo ni contract JobsYaani una ego mbaya mno aisee ukiwa level za akina Elon Musk utatunyea wewe ukiwa mawinguni. Yaani hizi sentence ndio umeharibu na umejionyesha akili yako ilivyo Kama kimipasho fulani.kama vitisho.ama kuwababaishia watu.
Ile ya utoto ukiwa na kitu unaenda kuwalingishia wenzako.