Qassy boee
Member
- Nov 6, 2019
- 98
- 88
ndug we ni msenge nikajua utawapa ndugu zako code za jinsi ya kupata kazi kama wew kuendelea kusaidiana kama watanzania ila unaongea shit nan ana wivu sasa wakati tunakufaaSaludo,
Kila siku naendelea kumshukuru mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zip but all in all namshukuru mungu for everything.
Hello niwatangazia umma au member wa jamii forum ya kwamba nimepata mchongo I mean kazi umoja wa mataifa kwenye shirika la wakimbizi(UNHCR) site ya sudan kusini katika makambi mbali mbali kama kule refugees camp,pedui refugees camp na n.k aisee life is good.
Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya furaha tu.kama una wivu na chuki tafadhali Pita hivi huu uzi haukuhusu nyie endeleeni na battle zenu za nchi yenu sie wengine tunaendelea kupaa mawinguni.
🖕🖕