Nimepata kazi shirika la wakimbizi(UNHCR) south sudan

Nimepata kazi shirika la wakimbizi(UNHCR) south sudan

Saludo,

Kila siku naendelea kumshukuru mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zip but all in all namshukuru mungu for everything.

Hello niwatangazia umma au member wa jamii forum ya kwamba nimepata mchongo I mean kazi umoja wa mataifa kwenye shirika la wakimbizi(UNHCR) site ya sudan kusini katika makambi mbali mbali kama kule refugees camp,pedui refugees camp na n.k aisee life is good.

Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya furaha tu.kama una wivu na chuki tafadhali Pita hivi huu uzi haukuhusu nyie endeleeni na battle zenu za nchi yenu sie wengine tunaendelea kupaa mawinguni.
ndug we ni msenge nikajua utawapa ndugu zako code za jinsi ya kupata kazi kama wew kuendelea kusaidiana kama watanzania ila unaongea shit nan ana wivu sasa wakati tunakufaa
🖕🖕
 
Sheria namba moja... huruhusiwi kupiga picha kambi ya wakimbizi au wakimbizi bila kibali...!

Ni kosa linalo weza kuondoka na kibarua chako na kurejeshwa kwenu haraka sana...
 
ndug we ni msenge nikajua utawapa ndugu zako code za jinsi ya kupata kazi kama wew kuendelea kusaidiana kama watanzania ila unaongea shit nan ana wivu sasa wakati tunakufaa
🖕🖕
Ajira zipo... kwenye makambi mbalimbali duniani

West africa
Huko sudan
Kenya
Somalia
Jordan
Tanzania
Liberia
Congo
Uganda
Nk...


Ni wewe kujishughulisha tu na kufahamu kingereza fasaha...
 
Yaani una ego mbaya mno aisee ukiwa level za akina Elon Musk utatunyea wewe ukiwa mawinguni. Yaani hizi sentence ndio umeharibu na umejionyesha akili yako ilivyo Kama kimipasho fulani.kama vitisho.ama kuwababaishia watu. Ile ya utoto ukiwa na kitu unaenda kuwalingishia wenzako.
What an ego trip huh?
 
Sijawai omba cha mtu, sijawahi tegemea cha mtu,sitegemei kukaa kwenye panel tena kujieleza nieleweke nipate ajira.... Ndo umaskini wenyeweee?... Basi naupenda..... Nachosema tu punguza ushamba kesho au 2023 bado mbali
2023 ni mwaka wa mashetani kama nyie
 
ndug we ni msenge nikajua utawapa ndugu zako code za jinsi ya kupata kazi kama wew kuendelea kusaidiana kama watanzania ila unaongea shit nan ana wivu sasa wakati tunakufaa
🖕🖕

ndug we ni msenge nikajua utawapa ndugu zako code za jinsi ya kupata kazi kama wew kuendelea kusaidiana kama watanzania ila unaongea shit nan ana wivu sasa wakati tunakufaa
🖕🖕
Toka lini MTanzania akawa ndugu yangu?nyie endeleeni na wivu na majungu si ndiyo vitu mnavyoweza?
 
Saludo,

Kila siku naendelea kumshukuru mungu kwa mafanikio yangu ya kila siku haipiti siku bila kupata kitu ambacho kinanipa furaha maishani japo moment za huzuni zip but all in all namshukuru mungu for everything.

Hello niwatangazia umma au member wa jamii forum ya kwamba nimepata mchongo I mean kazi umoja wa mataifa kwenye shirika la wakimbizi(UNHCR) site ya sudan kusini katika makambi mbali mbali kama kule refugees camp,pedui refugees camp na n.k aisee life is good.

Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya furaha tu.kama una wivu na chuki tafadhali Pita hivi huu uzi haukuhusu nyie endeleeni na battle zenu za nchi yenu sie wengine tunaendelea kupaa mawinguni.
Profession yako? Tupeane michongo
 
Dah.. Nina miaka mi5 Sina ajira.. natamani sana kujua ulifanyaje ukapats uko..natani kufanya nje ya nchi.. maana kingereza kinapanda sana na uzoefu wa kufanya na makampuni na NGOs .. so help me God. kupiti mtu hapa nipate mchongo na mm nijihisi kulamilika katik haya maisha.. uchumi ulio nitenga kwa miaka mi5 ureje
 
Huyu Msomi wa Public Health aka Mzee wa UNHCR aka mzee wa Machangudoa wa Riverside anaonekana ni mtu wa Kujimwambafai kinoma.
Kuna Uzi alinadi kuuza gari yake aina ya Jaguar ili anunue FORD🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom