She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,184
epuka ulevi, kumbuka mafundisho ya kanisaniNaombeni ushauri jaman.
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kansan.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini, Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Why?Upo Single?
Kuwa Muislam.Naombeni ushauri jaman.
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kansan.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini, Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Hizi zipoje? Naomba maelezo kidogo.Wekeza UTT Amis, nunua Bonds kwenye banks nk
Hii itanisaidiaje kuutoroka umasikini?Kuwa Muislam.
Nani kasema hana uzoefu?Hakuna kazi ya million kumi kenge wewe tena huna hata uzoefu wazungu gani hao wakulipe pesa ndefu hivyo na kwa skills gani ulizonazo labda kama unaenda kuuza kipwito kwa wazungu tena na familia yako yote ndipo upate huo mshahara,
A very strategic qn!Upo Single?
Itakujengea nidhamu ya maisha.Hii itanisaidiaje kuutoroka umasikini?
Mi mwenyew ntalipwa $4200...hiyo ni shingapi kwa kiswahili?Hao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Okay,nielezee kidogo hiyo nidhamu nitakayoipata kwenye uislam na itanisaidiaje kuutoroka umasikinì.Itakujengea nidhamu ya maisha.
Uwe Muuislam wa kuufata Uislam na mafundisho yake, siyo kuwa Muislam jina.
Hana nani?? Kumbe sio wewe.Nani kasema hana uzoefu?