Nimepata matatizo lakini hakuna Ndugu yangu aliyekuja wala kupiga Simu ya pole

Katika maisha ya sasa nilivyojifunza watu wenye uchungu na watakaokuwa sambamba na wewe kwenye shida na raha ni wazazi wako,watoto wako na mkeo hao wengine tunaowaita ndugu usiwategemee hata kidogo watakuwa karibu na wewe pale wanapo hitaji kitu fulani kama wanachotaka wanaona huna hutawaona hata simu zao hutaziona na hata ukiwapigia hawapatikani,walinifungia vioo wakati nimeacha mishe zangu na kwenda chuo miaka wengine wakani block kabisa,sitaki ujinga na mtu kila mtu aishi maisha yake.
 
Nanda kwenye kikao cha urusi baada ya kumaliza imba time useme ya Moyoni.. kukaa na kitu kifuani unaweza kuta nao walikuwa na shida zao pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…