Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
BaadhiHivi methali huwa zinaApply in real life?.
"TENDA WEMA UENDE ZAKO..."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BaadhiHivi methali huwa zinaApply in real life?.
"TENDA WEMA UENDE ZAKO..."
Toa upendo.. upendo una nguvu kuliko pesaSasa kama hana atoe nini. Jamani watu wa nyumbani ndugu ukoo jiran wakijua huwezi kufanya jambo bila wao, watakutesa, yaan watakupangia kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisu kimegusa mfupa!Endapo nyumba nzima mnakula chips yeye mnampa kiporo? Shamba anaenda yeye nyinyi mnabaki?
Usiku unamtoa nje saa 8 usiku kwamba kumekucha ila nyinyi mnaenda kujifunika mablanketi? Takataka kama wewe ndo huwa vinara wa kutesa watoto wa watu alafu wakisema mnaanza kuleta upumbafu.
Endapo huwezi kuishi na huyo mtoto kama wako mfukuze shenzi zako
Akili zako zipo kwenye kichuguu ndio maana unahisi wote wasiokubaliana nawewe wameishi maisha ya kwa ndugu na umedhihirisha ni jinsi gani unavyowachukulia.Kisu kimegusa mfupa!
Takataka ngumu mwenyewe!
Shenzi mwenyewe tena shenzi zako uzipokee ka kifurushi!
Kwangu nakula Kiporo cha kande au ubwabwa maharage asubuhi na chai hutaki, kwendraa! Mkae kwenu! Unang'ang'aniaje kwa mtu, ka unaona unateseka??
Ndiyo maana nimemwambia mke wangu. Watoto wa ndugu nyumbani kwetu marufuku! Wasaidiwe ada huko huko makwao. Kwangu marufuku!
Utovu wa nidhamu ndicho mnachokiweza!
Much know! Na story za kutunga!
Endelea kukalia kochi la shemeji na remote,Akili zako zipo kwenye kichuguu ndio maana unahisi wote wasiokubaliana nawewe wameishi maisha ya kwa ndugu na umedhihirisha ni jinsi gani unavyowachukulia.
Umeona sasa ulivyo hayawani usiyejielewa, ushaambiwa endapo wewe unakula chips basi nyumba nzima ile chips, ila kama nyinyi mnakula chips alafu mtoto mnampa kiporo mrudisheni kwao.AKufukuzaye hakwambii toka.
Kwa roho hiyo uliyonayo ni mara billion mia wasije kwako, alafu kwanini upo biased sana? As if aliyeleta mada kaleta kitu ambacho hakipo duniani, kwanini unakataa kuwa kuna ndugu wanates watoto wanaoishi nao? Wewe unatesa watoto wa ndugu zako? Kisu kimegusa mfupa?
Yaani badala ya mkeo kuwa mwenye roho mbaya na ya chuki iliyojaa kisirani unakutana na dume lenye pumbu mbili tahira lisilojielewa kama wewe, huyo mkeo anakustiri tu we boya akipata mwanaume aliyekamilika anakubwaga sekunde mbili mbele mshenzi wewe
Mkuu nikuambie ukweli wewe unaonekana una upendo sana kwa ndugu zako.wengi wenye upendo sana ndoo wanaumizwaga nda ndugu.lakini ukishaanza kuonyesha kiburi wa kwanza kulalamika ishi nao kwa maarifa hao siyo watu kabisa hawana utu.ishi utakavyo wengine delete ipo siku utanishukulu.njoo pm nikuambia kitu watu dizani hiyoHabari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.
Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.
Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje?
Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.
Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi?
Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika Wakuu
Mkuu wewe ndio umenielewa sasa nilicho kua nakizungumzia mpaka hapo, Kiukweli nawapenda sana nasio kisa wengine wanapesa ila tu napenda kuwa nao karibu, ila kwa walio nionesha acha nikae mbali nao. Japo nimeajiriwa najimudu kwa kila kitu na siwategemei kwa lolote ila nilikuwa nawapenda sana aisee.Mkuu nikuambie ukweli wewe unaonekana una upendo sana kwa ndugu zako.wengi wenye upendo sana ndoo wanaumizwaga nda ndugu.lakini ukishaanza kuonyesha kiburi wa kwanza kulalamika ishi nao kwa maarifa hao siyo watu kabisa hawana utu.ishi utakavyo wengine delete ipo siku utanishukulu.njoo pm nikuambia kitu watu dizani hiyo
Usilipe ubaya kwa ubaya wewe tenda wema kaka mwisho wa ubaya no aibu.Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.
Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.
Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje?
Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.
Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi?
Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika Wakuu
Ooooh pole inaonekana ni chuki imepandwa tangu ukiwa innocent kabisa, sasa cha kukushauri mkuu.Mkuu sio kwamba ni ukoo mzima wamenitenga ni baadhi ya ndugu zangu tu, kuna dada yangu mtoto wa shangazi naheshimiana nae na wadogo zangu ambao walifiwa na baba yao nawasaidia sana.
Pia naweza kukuambia kuwa hao baba zangu wameanza kunichukia tangu nipo mdogo yaani nilikuwa hata nikiugua hai kabisa hawajali kwa lolote kwani kwa kipindi hicho niliishi na babu na bibi kwani mama aliniacha nikiwa na miaka 3 na baba alipata magonjwa ya akili mkuu.
Sikatai kuwa kila mtu anamatatizo na hakuna mkamilifu ila mtoto akikosea muonye maana wao ni wazazi na si kumchukia, sina baba wala mama kwasasa na wao niliwachukulia kama baba na mama zangu, mkuu we hujui tu ila kama nikujiona nime win sisingeweza kuwa naenda kuwasalimia kila likizo na kama baba yangu mdogo alikuwa akiomba support ya kumtumia babu pesa natuma.
Inshort walikiwa hawajali kwa lolote tangu niko darasa la kwanza mkuu.
Una matatizo wewe jaribu kujichunguzaHabari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.
Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.
Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje?
Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.
Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi?
Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika Wakuu