Nimepata matatizo lakini hakuna Ndugu yangu aliyekuja wala kupiga Simu ya pole

Nimepata matatizo lakini hakuna Ndugu yangu aliyekuja wala kupiga Simu ya pole

Mkuu sio kwamba ni ukoo mzima wamenitenga ni baadhi ya ndugu zangu tu, kuna dada yangu mtoto wa shangazi naheshimiana nae na wadogo zangu ambao walifiwa na baba yao nawasaidia sana. Pia naweza kukuambia kuwa hao baba zangu wameanza kunichukia tangu nipo mdogo yaani nilikuwa hata nikiugua hai kabisa hawajali kwa lolote kwani kwa kipindi hicho niliishi na babu na bibi kwani mama aliniacha nikiwa na miaka 3 na baba alipata magonjwa ya akili mkuu.

Sikatai kuwa kila mtu anamatatizo na hakuna mkamilifu ila mtoto akikosea muonye maana wao ni wazazi na si kumchukia, sina baba wala mama kwasasa na wao niliwachukulia kama baba na mama zangu, mkuu we hujui tu ila kama nikujiona nime win sisingeweza kuwa naenda kuwasalimia kila likizo na kama baba yangu mdogo alikuwa akiomba support ya kumtumia babu pesa natuma. Inshort walikiwa hawajali kwa lolote tangu niko darasa la kwanza mkuu.
Kitendo cha kukupeleka shule ya vipaji bado alikuwa anakujali sema shida ni pale mtu unataka akufanye kama mtoto wake ridhika kwa hichohicho alichotoa maana angekuwa baba yako usingesema alikuwa hakujali
 
Kitendo cha kukupeleka shule ya vipaji bado alikuwa anakujali sema shida ni pale mtu unataka akufanye kama mtoto wake ridhika kwa hichohicho alichotoa maana angekuwa baba yako usingesema alikuwa hakujali
Mkuu shida sio kupelekwa shule kilicho niuma sana sana ni pale nafiwa na baba yangu mzazi ambaye ni kaka yake hakuja msibani. Na kwenye upande wa mama baba alivyo fariki hawakuja msibani pia je' kwa wewe utajisikiaje?
 
Mkuu, pole sana kwa yaliyokukuta.
Ila ushauri wangu: Mambo kama hayo usipende kuyaweka-weka hadharani?
Wengi wamepitia huko!
Nakuambia ukweli: Baadhi watatumia kulialia kwako kama faida ya kuja kwako na kujifamya waungwanaaa! Kukusikitikia kwingiii! kumbe wanazidi kukusanifu!
Achana nao! take your time!
Asant kwa ushauri mkuu
 
Kama wana pesa basi wapotezee tu Mkuu.. Ukiwaendekeza hawakawii kusema unajipendekeza kwao..

Kwani maisha yako bila wao unaona hayawezekani?
Nikweli mkuu ila shida inakuja huyo mamdogo ananilazimisha nimpeleke mtoto na mke wangu, sasa na mimi nikifikiria mke wangu alipata shida na hawakumjulia hali hata kuuliza mtoto anaendeleaje? Et leo hii nimpeleke mtoto na mke wangu kwao.
 
Kweli mkuu, sasa sijui wanafanya hivyo kwakuwa wanapesa? Maana hao ninao waongelea wanapesa hivyo wanajiona matawi japo mimi nilikuwa napenda kuwajulia hali. Chakushangaza sasa ninao elewana nao mimi ni wale wenye maisha ya kawaida kama mimi.
Kumbe jibu unalo jaribu kuwa bize kujenga maisha yako na familia yako hao unaowazungumzia unaweza kukuta hawajawahi hata kidogo kukuwaza kama ni ndugu yao.
 
Kumbe jibu unalo jaribu kuwa bize kujenga maisha yako na familia yako hao unaowazungumzia unaweza kukuta hawajawahi hata kidogo kukuwaza kama ni ndugu yao.
Kweli mkuu ngoja nipambane na maisha yangu aisee
 
Mkuu shida sio kupelekwa shule kilicho niuma sana sana ni pale nafiwa na baba yangu mzazi ambaye ni kaka yake hakuja msibani. Na kwenye upande wa mama baba alivyo fariki hawakuja msibani pia je' kwa wewe utajisikiaje?
Sasa unataka ufanyeje kama wamekataa kuja? Kunywa sumu basi ufe ili wajue umechukia.
 
Mkuu shida sio kupelekwa shule kilicho niuma sana sana ni pale nafiwa na baba yangu mzazi ambaye ni kaka yake hakuja msibani. Na kwenye upande wa mama baba alivyo fariki hawakuja msibani pia je' kwa wewe utajisikiaje?
Kumbe unajua cha kufanya,simple kuwa mwanaume basi nenda na atayeenda na wewe usiishi kutaka kumfurahisha mwanadamu
 
Pole sana, nahisi nawe hauna tu hela kama mimi.....mara nyingi ndugu wapo kama panya wa SUA wananusa penye hela.

Ukiwa na hela ukikohoa tu ndugu na marafiki wanajaa kukujulia hali, ukiwa na hela daktari atakuja kukuona bar na kukupa tiba, ukiwa na hela mwanasheria atakufata hata night club kukusikiliza shida.

Ishi maisha yako anaekujali mjali, anaekutafuta mtafute, asiekujali akafie mbele usientertain mambo ya miungu watu.
 
Pole sana, nahisi nawe hauna tu hela kama mimi.....mara nyingi ndugu wapo kama panya wa SUA wananusa penye hela.
Ukiwa na hela ukikohoa tu ndugu na marafiki wanajaa kukujulia hali, ukiwa na hela daktari atakuja kukuona bar na kukupa tiba, ukiwa na hela mwanasheria atakufata hata night club kukusikiliza shida.

Ishi maisha yako anaekujali mjali, anaekutafuta mtafute, asiekujali akafie mbele usientertain mambo ya miungu watu.
Wakwende zao huko[emoji1787]
 
Mkuu sio kwamba ni ukoo mzima wamenitenga ni baadhi ya ndugu zangu tu, kuna dada yangu mtoto wa shangazi naheshimiana nae na wadogo zangu ambao walifiwa na baba yao nawasaidia sana. Pia naweza kukuambia kuwa hao baba zangu wameanza kunichukia tangu nipo mdogo yaani nilikuwa hata nikiugua hai kabisa hawajali kwa lolote kwani kwa kipindi hicho niliishi na babu na bibi kwani mama aliniacha nikiwa na miaka 3 na baba alipata magonjwa ya akili mkuu.

Sikatai kuwa kila mtu anamatatizo na hakuna mkamilifu ila mtoto akikosea muonye maana wao ni wazazi na si kumchukia, sina baba wala mama kwasasa na wao niliwachukulia kama baba na mama zangu, mkuu we hujui tu ila kama nikujiona nime win sisingeweza kuwa naenda kuwasalimia kila likizo na kama baba yangu mdogo alikuwa akiomba support ya kumtumia babu pesa natuma. Inshort walikiwa hawajali kwa lolote tangu niko darasa la kwanza mkuu.
lipa mema kwa mabaya kisasi si chetu ni cha Mungu,duniani tunavimbiana kwa mali na ujuaji ila tu wapitaji tu kuna leo na kesho unaweza usiwahitaji weww ila kizazi chako kikawahitaji,pole umeandika kihisia
 
Mkuu.

Usilipe ubaya kwa ubaya.

Ubaya hulipwa kwa wema.

Yangu ni hayo tu
 
Mkuu sio kwamba ni ukoo mzima wamenitenga ni baadhi ya ndugu zangu tu, kuna dada yangu mtoto wa shangazi naheshimiana nae na wadogo zangu ambao walifiwa na baba yao nawasaidia sana. Pia naweza kukuambia kuwa hao baba zangu wameanza kunichukia tangu nipo mdogo yaani nilikuwa hata nikiugua hai kabisa hawajali kwa lolote kwani kwa kipindi hicho niliishi na babu na bibi kwani mama aliniacha nikiwa na miaka 3 na baba alipata magonjwa ya akili mkuu.

Sikatai kuwa kila mtu anamatatizo na hakuna mkamilifu ila mtoto akikosea muonye maana wao ni wazazi na si kumchukia, sina baba wala mama kwasasa na wao niliwachukulia kama baba na mama zangu, mkuu we hujui tu ila kama nikujiona nime win sisingeweza kuwa naenda kuwasalimia kila likizo na kama baba yangu mdogo alikuwa akiomba support ya kumtumia babu pesa natuma. Inshort walikiwa hawajali kwa lolote tangu niko darasa la kwanza mkuu.
Nenda nao sawa wale wanaoenda sawa na wewe, huwezi ukamfurahisha kila mmoja. Move on na maisha yako!

Sent using Samsung J1
 
Japo si vizuri kufanya hukumu ila nimejiuliza kweli familia nzima kama sio ukoo wakutenge kwa kiwango hicho? Mkuu yawezekana kuna namna wewe ni tatizo aidha kujiona umewin sana maisha au ukawa na dharau kwa huo ukoo. Jitafakari kuna tatizo mahali kwako wewe japo unajitetea.
May be wanamuona Hana hela
 
Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.

Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.

Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.

Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
"Tusichoke kutenda mema,hata kama tuwatendeao wema uo hawathamini mema yetu,kwani mwisho wa mema yetu ni sisi na MUNGU sio sisi na wao"- By Mama Teresa.

Kawa unaweza kuwasaidia wasaidie kama sadaka sio kama mchango wa kawaida pia wasamehe kbs moyoni mwako, ukisamehe hutoangalia walifanya nn na nini,japo si kitu rahisi kwa watu waliyokuumiza.
 
Back
Top Bottom