Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stick to your lane.Kweli mkuu, sasa sijui wanafanya hivyo kwakuwa wanapesa? Maana hao ninao waongelea wanapesa hivyo wanajiona matawi japo mimi nilikuwa napenda kuwajulia hali. Chakushangaza sasa ninao elewana nao mimi ni wale wenye maisha ya kawaida kama mimi.
Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.
Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.
Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.
Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Piga chini Mambo ya ndugu ukiendekeza hufanyi kitu na utakuwa na vinyongo,which means itakutafuna mwenyewe. Same damn thing nilichowahi kupitia wakati wa uzazi wa mwanangu wa kwanza mpaka ndoa them mtoto wa pili.Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo
Mkuu uliochoandika ndio uhalisia,nashauri azingatie hayaMaisha yamebadilika sana mkuu, ndugu sikuhizi siyo wale wa damu tu, ndugu ni yule aliye tayari kuwa na wewe wakati wa shida na raha bila kujali.
Ukipata watu wa aina hiyo hatakama siyo ndugu yako wa damu ishi nao vizuri.
Mindset uliyonayo ya kutaka ndugu wa damu waonyeshe ushirikiano na kukujali kwa kila jambo kwasababu tu ni ndugu /wana ukoo, hiyo mindset ondoa kabisa na kuwa flexible kuishi nao jinsi walivyo.
Siyo ndugu tu, hata marafiki pia, kuwa flexible kuishi nao jinsi walivyo, yaani usilazimishe kuwa na umuhimu katika maisha ya wengine.
Shida zipo na huwezi kosa mtu hata mmoja wa kukupa support.
Hao wachache walio tayari kuwa na wewe komaa nao, ambao wako bize na maisha yao waache waendelee na maisha yao.
Usipokuwa na umuhimu katika maisha ya mtu usitegemee ataonyesha kujali na kukupa muda wake, hivyo achana na habari ya kuamini ndugu wa damu LAZIMA wawe upande wako kila wakati.
Ulimwengu umebadilika sana, mind your own business na ishi kutafuta amani ya moyo wako na siyo kutafuta ndugu.
Huwezi pendwa na wote, hata Yesu mwana wa Mungu hakupendwa na wote, wewe ni nani kila mtu akupende na kujali matatizo yako??
ISHI MAISHA YAKO, ALIYE UPANDE WAKO NENDA NAYE, ASIYE UPANDE WAKO ACHANA NAYE.
Kikubwa USIWACHUKIE. Kubali tu uhalisia wao na uendelee na maisha yako.
Hiyo mialiko kama imetoka kwa watu ambao hawakuonyesha kukujali wakati wa matatizo na wewe USIENDE, endelea na maisha yako.
Kama ipo pesa ya ZIADA wachangie kidogo waambie ratiba zimebana ila kama pesa uliyonayo una bajeti nayo muhimu USITOE.
Ukiishi kutaka kumfurahisha kila mtu huwezi ishi kwa amani kamwe.
hawajui huyu huenda ye ni miongoni mwa mandugu wenye kutengeneza kaoleDah,,huwajui ndugu boss...
Wewe ndio mwenye tatizo, wanaukoo wote haiwezekani wakutenge pasipo na sababuHabari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.
Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.
Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.
Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu usiwategemee ndugu ,Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.
Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.
Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.
Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]