Nimepata matatizo lakini hakuna Ndugu yangu aliyekuja wala kupiga Simu ya pole

Nimepata matatizo lakini hakuna Ndugu yangu aliyekuja wala kupiga Simu ya pole

Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.

Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.

Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.

Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Achana na mambo ya ndugu, focus kutafuta hela ujenge familia yako inayojitegemea kiuchumi.

Ndugu huwa hawana msaada wowote zaidi ha kukufariji tu.

Jifunze kujitegemea acha kuliakulia.

Usitegemee vifu kwa watu you will not be dissapointed!
 
Unadeka!? Mlalamishi?! Huridhiki?? Una attention deficit disorder, fact of life, wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika! Unapenda kupendwa kupitiliza, kuangaliwa, kunyenyekewa, na unaishi ukitamani hao ndugu wasiokujali wakujali, wakunyenyekee, wakusumbue sumbue!

Wewe ni Nani??

Fanya yako, waje wasije, ndiyo maisha, wapige simu wasipige ndiyo maisha, uende harusini usiende, maisha yataendelea, u ain't that important to them, shut up & put up with it!

Unatamani wajipendekeze ili uwanyanyase, haitokuja kutokea! Au kiu yako nini?
 
Mkuu sio kwamba ni ukoo mzima wamenitenga ni baadhi ya ndugu zangu tu, kuna dada yangu mtoto wa shangazi naheshimiana nae na wadogo zangu ambao walifiwa na baba yao nawasaidia sana. Pia naweza kukuambia kuwa hao baba zangu wameanza kunichukia tangu nipo mdogo yaani nilikuwa hata nikiugua hai kabisa hawajali kwa lolote kwani kwa kipindi hicho niliishi na babu na bibi kwani mama aliniacha nikiwa na miaka 3 na baba alipata magonjwa ya akili mkuu.

Sikatai kuwa kila mtu anamatatizo na hakuna mkamilifu ila mtoto akikosea muonye maana wao ni wazazi na si kumchukia, sina baba wala mama kwasasa na wao niliwachukulia kama baba na mama zangu, mkuu we hujui tu ila kama nikujiona nime win sisingeweza kuwa naenda kuwasalimia kila likizo na kama baba yangu mdogo alikuwa akiomba support ya kumtumia babu pesa natuma. Inshort walikiwa hawajali kwa lolote tangu niko darasa la kwanza mkuu.
Pole Sana kutakuwa Kuna kitu nyuma ya pazia juu ya masuala ya kiimani pengine maana hayo hutokea Sana kwa binadam
 
Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.

Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.

Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.

Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mbona sikuelewi, shangazi yako kafiwa na kaka yake asiwe na habari na unataka aje kukupa pole wewe kuhusu kifo cha kaka yake?

Huo ukoo wa baba yako ukoje! Jingine, inaonekana mkeo hana ukoo maana wewe umezungumzia upande wa baba yako tu!


Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe unaonekana ni bonitauni, tangu ulipomaliza darasa la saba umeishi mjini huko kwenu haujawahi kukanyaga, msiba wa baba yako utokee kijijini unataka waje mjini kukupa pole! Haiwezekani asilani.
 
Mbona sikuelewi, shangazi yako kafiwa na kaka yake asiwe na habari na unataka aje kukupa pole wewe kuhusu kifo cha kaka yake? Huo ukoo wa baba yako ukoje! Jingine, inaonekana mkeo hana ukoo maana wewe umezungumzia upande wa baba yako tu!
Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe unaonekana ni bonitauni, tangu ulipomaliza darasa la saba umeishi mjini huko kwenu haujawahi kukanyaga, msiba wa baba yako utokee kijijini unataka waje mjini kukupa pole! Haiwezekani asilani.
Haiwezekani watu wazima waamue kujenga mtu, na kumpotezea, sasa utakuta anawataarifu Ndugu anaopatana nao, watoto wa hao kina shangazi, Baba wadogo, mama wadogo, wawaambie hao watu wazima yeye na mkewe wana matatizo, kiafrika mambo hayaendi hivyo!

Alivyo mlalamishi mkewe ana ndugu wanaokwenda kumuona, Ila haitoshi, hao wazee anataka wajishushe, wamtafute yeye!? WTF!

Nimelea watoto wa braza wangu. Baba yao mlevi, watoto wa dizaini hii hata ujichune ngozi kuwapigania hawaridhiki, wao siku zote, huwa wanahisi wananyanyasika.

Nyumba nzima mtakula maharage, yeye atataka chips, nyumba nzima mtaenda shamba, yeye ataumwa, nyumba nzima, mtaosha vyombo, yeye haoshagi vyombo, na Ada atakula! Shenzitaipu!

Na suspension akiwa ataenda Kwa babake akamtetee!
 
Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.

Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.

Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.

Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Katika hayo mengi ambayo hujayaandika ndio yanayo wafanya wakupotezee
 
Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.

Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.

Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.

Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Centre of attraction.

Usitake mambo mazuri yakujie kwa vile unadhani unastahili....

Tenda matendo mema kwa kila mtu bila kujali kama ni ndugu au mtu wa kando.

Tenda kwa kufurahia kufanya hivo na wala usichoke...

Tenda kwa watu wengi kadiri uwezavyo....

Usidai kutendewa hivo kutoka kwa mtu yeyote....

Eventually....utarejeshewa wema hata mara elfu kwa elfu....

Kuhusu Mkeo....

Msaidie kupeleka taswira njema kwa watu hata kama hana...

Ukiona mambo hayakutokei tatizo siyo watu....NI WEWE.....


CENTER OF ATTRACTION HAS TO BE YOU...

BE IT GOOD OR BAD....

IT IS YOU.

TAKE care.
 
Mkuu sio kwamba ni ukoo mzima wamenitenga ni baadhi ya ndugu zangu tu, kuna dada yangu mtoto wa shangazi naheshimiana nae na wadogo zangu ambao walifiwa na baba yao nawasaidia sana. Pia naweza kukuambia kuwa hao baba zangu wameanza kunichukia tangu nipo mdogo yaani nilikuwa hata nikiugua hai kabisa hawajali kwa lolote kwani kwa kipindi hicho niliishi na babu na bibi kwani mama aliniacha nikiwa na miaka 3 na baba alipata magonjwa ya akili mkuu.

Sikatai kuwa kila mtu anamatatizo na hakuna mkamilifu ila mtoto akikosea muonye maana wao ni wazazi na si kumchukia, sina baba wala mama kwasasa na wao niliwachukulia kama baba na mama zangu, mkuu we hujui tu ila kama nikujiona nime win sisingeweza kuwa naenda kuwasalimia kila likizo na kama baba yangu mdogo alikuwa akiomba support ya kumtumia babu pesa natuma. Inshort walikiwa hawajali kwa lolote tangu niko darasa la kwanza mkuu.
W cancel na endelea na maisha yako
 
Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.

Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.

Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.

Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Inaelekea mkuu kuna kitu kwako ndugu zako hawakubaliani nacho.

Jitazame kwa makini wewe na mkeo ni lazima kuna kitu hakiko sawa.

Sote ni binadamu na tunakosea.

Heri kukisahihisha na kupatana na ndugu.
 
Hujasema uliwanya jambo gani lililowafanya wakutengeee ilaaa

ka unawezaaa sameheeeeee sameheee sameheee narudia tenaaa just forgive forgive forgive

Usibebe mengi moyoniii, upatapo muda waambiee yote ulonayooo moyoniii

SAMEHEEE huenda milango ya mafanikio yako imefungwa kwa kuendeleza chukiii
 
Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.

Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.

Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.

Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
ndugu yako ni mdogo wako wa damu au kaka yako hao wengine wengi ni wanafiki
 
Maisha yamebadilika sana mkuu, ndugu sikuhizi siyo wale wa damu tu, ndugu ni yule aliye tayari kuwa na wewe wakati wa shida na raha bila kujali.

Ukipata watu wa aina hiyo hatakama siyo ndugu yako wa damu ishi nao vizuri.


Mindset uliyonayo ya kutaka ndugu wa damu waonyeshe ushirikiano na kukujali kwa kila jambo kwasababu tu ni ndugu /wana ukoo, hiyo mindset ondoa kabisa na kuwa flexible kuishi nao jinsi walivyo.

Siyo ndugu tu, hata marafiki pia, kuwa flexible kuishi nao jinsi walivyo, yaani usilazimishe kuwa na umuhimu katika maisha ya wengine.

Shida zipo na huwezi kosa mtu hata mmoja wa kukupa support.

Hao wachache walio tayari kuwa na wewe komaa nao, ambao wako bize na maisha yao waache waendelee na maisha yao.

Usipokuwa na umuhimu katika maisha ya mtu usitegemee ataonyesha kujali na kukupa muda wake, hivyo achana na habari ya kuamini ndugu wa damu LAZIMA wawe upande wako kila wakati.


Ulimwengu umebadilika sana, mind your own business na ishi kutafuta amani ya moyo wako na siyo kutafuta ndugu.


Huwezi pendwa na wote, hata Yesu mwana wa Mungu hakupendwa na wote, wewe ni nani kila mtu akupende na kujali matatizo yako??


ISHI MAISHA YAKO, ALIYE UPANDE WAKO NENDA NAYE, ASIYE UPANDE WAKO ACHANA NAYE.

Kikubwa USIWACHUKIE. Kubali tu uhalisia wao na uendelee na maisha yako.

Hiyo mialiko kama imetoka kwa watu ambao hawakuonyesha kukujali wakati wa matatizo na wewe USIENDE, endelea na maisha yako.

Kama ipo pesa ya ZIADA wachangie kidogo waambie ratiba zimebana ila kama pesa uliyonayo una bajeti nayo muhimu USITOE.

Ukiishi kutaka kumfurahisha kila mtu huwezi ishi kwa amani kamwe.
Fata huu ushauri hutojuta..
 
Watu wasikutishe, usifanye majaribio kwenye maisha yako hata kidogo, umeshajua kwamba hutakiwi kwanini uendelee kuwawaza, funga vioo fanya maisha yako.

Unayo dhamani kama wao, anakutafuta mtafute huyo huyo, Hakuna haja ya kuishi duniani huku umewapigia magoti baadhi ya watu. Furahi kwa sababu umewatambua mapema kabla hawajakuja kukungusha siku za usoni.

Maishani siyo kila mtu wa kwenda nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haiwezekani watu wazima waamue kujenga mtu, na kumpotezea, sasa utakuta anawataarifu Ndugu anaopatana nao, watoto wa hao kina shangazi, Baba wadogo, mama wadogo, wawaambie hao watu wazima yeye na mkewe wana matatizo, kiafrika mambo hayaendi hivyo!
Alivyo mlalamishi mkewe ana ndugu wanaokwenda kumuona, Ila haitoshi, hao wazee anataka wajishushe, wamtafute yeye!? WTF!

Nimelea watoto wa braza wangu. Baba yao mlevi, watoto wa dizaini hii hata ujichune ngozi kuwapigania hawaridhiki, wao siku zote, huwa wanahisi wananyanyasika. Nyumba nzima mtakula maharage, yeye atataka chips, nyumba nzima mtaenda shamba, yeye ataumwa, nyumba nzima, mtaosha vyombo, yeye haoshagi vyombo, na Ada atakula! Shenzitaipu! Na suspension akiwa ataenda Kwa babake akamtetee!
Endapo nyumba nzima mnakula chips yeye mnampa kiporo? Shamba anaenda yeye nyinyi mnabaki?

Usiku unamtoa nje saa 8 usiku kwamba kumekucha ila nyinyi mnaenda kujifunika mablanketi? Takataka kama wewe ndo huwa vinara wa kutesa watoto wa watu alafu wakisema mnaanza kuleta upumbafu.

Endapo huwezi kuishi na huyo mtoto kama wako mfukuze shenzi zako
 
Habari zenu? Kunakipindi nilileta uzi huu, Ndugu zangu nashindwa kuwaelewa
Baada ya kuvuta jiko niliishi na mke wangu, mwezi wa 11/2021 tulibahatika kupata mtoto na mke wangu, sikuwa na hiyana niliona japo ndugu zangu walinikosea kiasi fulani acha niwataarifu japo mke wangu alipata PPH (Postpartum Haemorrhage) nusura afe niliwataarifu pia kuhusu hayo matatizo lakini hawakujari na wala mke wangu hakupigiwa sim wala kuulizwa chochote.

Baadae nilisema isiwe kesi acha niendelee kutulia kimya nikaamua kutokuwatafuta tena, pia japo nilifiwa na baba niliandika kwenye uzi hiyo link juu, baada ya kutoka msibani hakukuwa na mtu aliye kuja kunipa pole hasa mama yangu mdogo wala wajomba zangu hakuna na wala eti waulizie kuhusu mtoto wangu anaendeleaje hakuna.

Baada ya kuona hivyo nilitulia tulii, juzi kati mamdogo wangu ananipigia na kunilazimisha nimpeleke mke wangu na mtoto wangu kwake, pia naambiwa mtoto wa mjomba anafunga ndoa mwaka huu hivyo nijiandae kirohoni nikanisemea hivi hawa wananichukuliaje? Nimepata msiba hawajaja na baadhi yao hajanipigia sim kunipa pole, haya mke wangu alijifungua na akapata matatizo na niliwataarifu hakuna aliye toa pole na wala kujali.

Nawasilisha wakuu, hiyo ni sahihi? Pia kunamambo mengi tu sema siwezi andika wakuu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Matatizo yako ni yako siyo ya ndugu zako.
 
Back
Top Bottom