Nimepata mchepuko mwenye umri wa miaka 21; nafanyaje nisiendelee nao?

Nimepata mchepuko mwenye umri wa miaka 21; nafanyaje nisiendelee nao?

Nina umri wa miaka 48 nimeoa na nina watoto wa nne.

Kuna kabinti nilikakuta mahali nikakatania kama nakataka ila ni kazuri. Cha jabu last week end kakanitafuta tuka kaa sehemu na kupiga story. Baada ya hapo kenyewe ndio kanakuja speed kako tayari kuhama kwao eti mimi nikapangishie.

Kwa kweli mimi naona ni kadogo hata kwa mtoto wangu ila kenyewe kanapambana kuniita bae sijui na week kanataka tutoke.

Najiuliza nakaachaje kabla hatujaendelea mbali zaidi? Au nikale halafu nisepe? Au nikaambie tu ukweli siwezi kuwa na wewe!!!
Ni-Mp namba yake nikupunguzie mzigo mkuu.
Pole sana kwa usumbufu ulioupata, naahidi kukusababishia utulivu!!
 
Kwa umri wako hujawahi kuaacha demu hata mmoja? Anyway nipe namba zake nikatafune hako size yangu kabisa
 
Najiuliza nakaachaje kabla hatujaendelea mbali zaidi? Au nikale halafu nisepe? Au nikaambie tu ukweli siwezi kuwa na wewe!!!
Legally, she's not a child, so stop calling her "katoto"! Morally, you're too old for her but she's not too young for you!! Ukimla halafu ukamkimbia utakuwa umemfanyia ufirauni kwa sababu hayo ni mambo ya vivulana!!
 
Legally, she's not a child, so stop calling her "katoto"! Morally, you're too old for her but she's not too young for you!! Ukimla halafu ukamkimbia utakuwa umemfanyia ufirauni kwa sababu hayo ni mambo ya vivulana!!

Very wise ndugu hata mimi naona huruma sana kufanya kitu kama hicho, I am sure huku kwangu kanatafuta maslahi ndiyo maana kameamuwa kujiachia. Mimi nime opt kumwambia tu ukweli kwamba siwezi kuwa na wewe lakini vitu nilivyo ahidi kukusaidia nitakusaidia then we close the topic
 
Nina umri wa miaka 48 nimeoa na nina watoto wa nne.

Kuna kabinti nilikakuta mahali nikakatania kama nakataka ila ni kazuri. Cha jabu last week end kakanitafuta tuka kaa sehemu na kupiga story. Baada ya hapo kenyewe ndio kanakuja speed kako tayari kuhama kwao eti mimi nikapangishie.

Kwa kweli mimi naona ni kadogo hata kwa mtoto wangu ila kenyewe kanapambana kuniita bae sijui na week kanataka tutoke.

Najiuliza nakaachaje kabla hatujaendelea mbali zaidi? Au nikale halafu nisepe? Au nikaambie tu ukweli siwezi kuwa na wewe!!!
Mzeee mpangishie tu alaf sisi wa 30s tutakuja kumnunulia umeme wa luku huku tukiwa tumekaa sebleni kwake tumekunja nne tunaangalia clouds tv tunasubiri msosi
 
Very wise ndugu hata mimi naona huruma sana kufanya kitu kama hicho, I am sure huku kwangu kanatafuta maslahi ndiyo maana kameamuwa kujiachia. Mimi nime opt kumwambia tu ukweli kwamba siwezi kuwa na wewe lakini vitu nilivyo ahidi kukusaidia nitakusaidia then we close the topic
Anachonitia shaka ni hicho cha kukimbilia kutaka umpangie lakini siwezi kum-judge kila msichana mdogo kwamba anatafuta maslahi kwangu kabla hujapata uhakika!! Inawezekana ni kweli anatafuta maslahi lakini pia inawezekana anatafuta pumziko la uhakika! Kuna wasichana wadogo wengi tu lakini wapo fed-up na tabia za wavulana wa rika lao kwahiyo wengine wanaamini wakikutana na mtu mzima, anaweza kuwa ame-settle. Bado nakumbuka wakati nipo 36, nilikutana na msichana aliyekuwa 24. Nilipomuambia nipo 36 huku nikidhani ataniona kizee, yeye akaonesha wazi disappointment yake kwa kuniona eti bado nipo kwenye foolish age!! AND YES, at 36 bado nilikuwa na-act kama 20's, na wanaume wengi ndivyo tulivyo!!! Na kuna kitu kilikuwa kinanishangaza sana kwa huyu binti!! Yaani tukikaa na kuongea, mimi ndo nilikuwa naji-feel ndie mdogo kwa jinsi alivyokuwa ame-settle hadi kwenye maongezi!!

Sasa unadhani msichana wa aina hiyo ataenda kwa mtu mzima kwa sababu ya maslahi?!
 
Mkuu mtafune tuu, ila angalia usije kufa, tukapata stori ya kupendezesha jamvi.... mtafune tuu mkuu, Tena ikiwezekana mpangie chumba kabisa, ili umle ukiwa huru, ila pia angalia YALE UFANYAYO, MTOTO WAKO PIA ATAFANYIWA HIVYO HIVYO...
Hata asipofanya bado sio garantii kwamba mtoto wake hatafanywa hivyo hivyo. So akatafune tuu maisha ni haya haya
 
Nina umri wa miaka 48 nimeoa na nina watoto wa nne.

Kuna kabinti nilikakuta mahali nikakatania kama nakataka ila ni kazuri. Cha jabu last week end kakanitafuta tuka kaa sehemu na kupiga story. Baada ya hapo kenyewe ndio kanakuja speed kako tayari kuhama kwao eti mimi nikapangishie.

Kwa kweli mimi naona ni kadogo hata kwa mtoto wangu ila kenyewe kanapambana kuniita bae sijui na week kanataka tutoke.

Najiuliza nakaachaje kabla hatujaendelea mbali zaidi? Au nikale halafu nisepe? Au nikaambie tu ukweli siwezi kuwa na wewe!!!
Fanya yote lakini epuka kumpangishia
 
nina miaka 61,mkuu hebu fanya kunirushia namba kuna pensheni inaniwasha washa hapa!
 
Back
Top Bottom