Nimepata mchepuko mwenye umri wa miaka 21; nafanyaje nisiendelee nao?

Nimepata mchepuko mwenye umri wa miaka 21; nafanyaje nisiendelee nao?

Ndio mana mimi nitabakia niki kumbushia vijana wenzangu hembu tuache mishe za K tupige kazi kwanza. Mtoto wa 21 years na BRO wa 48 years alafu bro anataka mpangishia chumba bado hela ya matumizi ampe. Hivi kesho wewe msela huna misha bado za kueleweka umpende huyu mtoto kwa nia njema kabisa ya kutaka kuoa utawezana nae? Jibu ni No ata taka umtoe laki tano za matumizi kwa wiki kama bro na wewe huna kitu ina kuwa maumivu tayari.
Conclusion wanao haribu hawa kina dada ni MaBro. Bro ana ndoa ana mke ana watoto tena wanawez kuwa wakike bado kidem chetu mtaani ana kimiliki ana kipa hela kidem kina tudharau wakati uchumi wa kati umekaba hata ajira hamna. Sisi tuna endelea kudhalilika kila siku na wanawake wanasema no money no honey hela tuna toa wapi sisi, mfumo wa mapenzi ya kweli umeharibiwa na mabro na hela zenu mna taka kumiliki kila kitu na mabavu ya pesa zenu sisi wadogo tunaishi vipi? Ndio mana nawasihi wenzngu tuka pambane tu kwanza tutarudi baadae tukiwa kwenye maprado, teza, subenga na crown.
tafuta pesa kijana na wewe uje ufaidi
 
Very wise ndugu hata mimi naona huruma sana kufanya kitu kama hicho, I am sure huku kwangu kanatafuta maslahi ndiyo maana kameamuwa kujiachia. Mimi nime opt kumwambia tu ukweli kwamba siwezi kuwa na wewe lakini vitu nilivyo ahidi kukusaidia nitakusaidia then we close the topic
Mzee mwenzangu unaonekana huna ujuzi wa kuchepuka kabisa
 
tafuta pesa kijana na wewe uje ufaidi
Pesa ninayo tayari vijana wenzangu nawa pigia debe wana teseka sana. Uchumi wa kati ajira hamna matumizi kwa wiki 500k, watawezana? wazee mkiacha kuhonga hawa mabinti mitazamo itabadilika na kurudi kwa vijana wenzao
 
Halana lolote hako


Maisha magumu mtaani anataka akachune


Mwambie umefukuzwa kazi una madeni uone kama katarudi....
 
Nina umri wa miaka 48 nimeoa na nina watoto wanne.

Kuna kabinti nilikakuta mahali nikakatania kama nakataka ila ni kazuri. Cha jabu last weekend kakanitafuta tukakaa sehemu na kupiga story. Baada ya hapo kenyewe ndio kanakuja speed kako tayari kuhama kwao eti mimi nikapangishie.

Kwa kweli mimi naona ni kadogo hata kwa mtoto wangu ila kenyewe kanapambana kuniita bae sijui na week kanataka tutoke.

Najiuliza nakaachaje kabla hatujaendelea mbali zaidi? Au nikale halafu nisepe? Au nikaambie tu ukweli siwezi kuwa na wewe!!!
watoto was umri huo ni wasumbufu na nusu
 
Nina umri wa miaka 48 nimeoa na nina watoto wanne.

Kuna kabinti nilikakuta mahali nikakatania kama nakataka ila ni kazuri. Cha jabu last weekend kakanitafuta tukakaa sehemu na kupiga story. Baada ya hapo kenyewe ndio kanakuja speed kako tayari kuhama kwao eti mimi nikapangishie.

Kwa kweli mimi naona ni kadogo hata kwa mtoto wangu ila kenyewe kanapambana kuniita bae sijui na week kanataka tutoke.

Najiuliza nakaachaje kabla hatujaendelea mbali zaidi? Au nikale halafu nisepe? Au nikaambie tu ukweli siwezi kuwa na wewe!!!
Duh

Kazi kweli kweli. Eti huyu nae baba. Haha [emoji38][emoji23][emoji23][emoji23] watoto wana hasara [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atanikumbuka... Chumba huzaa mahitaji na matumizi... Kishapo wivu halafu mimba na hatimaye mtoto... Baada ya hapo shetani husimamia ukucha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee but, huchepukagi kwani? Lol
 
Nina umri wa miaka 48 nimeoa na nina watoto wanne.

Kuna kabinti nilikakuta mahali nikakatania kama nakataka ila ni kazuri. Cha jabu last weekend kakanitafuta tukakaa sehemu na kupiga story. Baada ya hapo kenyewe ndio kanakuja speed kako tayari kuhama kwao eti mimi nikapangishie.

Kwa kweli mimi naona ni kadogo hata kwa mtoto wangu ila kenyewe kanapambana kuniita bae sijui na week kanataka tutoke.

Najiuliza nakaachaje kabla hatujaendelea mbali zaidi? Au nikale halafu nisepe? Au nikaambie tu ukweli siwezi kuwa na wewe!!!
Mkuu nipe namba yake
 
Back
Top Bottom